Huku Mwenge tayari wameshakata umeme muda

Teamanaconda

JF-Expert Member
Jun 21, 2013
602
563
Huu umeme jamani unasumbua sana kwa kweli,kama vipi muhongo atangaze tu mgawo tujue moja,na Maji nayo tegeta DAWASCO wametangaza siku tatu kutakuwa hakuna Maji,sijui nihamie South Sudan?
 
Back
Top Bottom