Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Nimesoma gazeti la nipashe la leo kuna makala inahusu dawa za nguvu za kiume.
Kuna mtu kaulizwa kuhusu dawa ya mundende kutoka KONGO anasema akiitumia anachukua masaa matatu kupiga bao moja.
Je wakuu kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Kuna mtu kaulizwa kuhusu dawa ya mundende kutoka KONGO anasema akiitumia anachukua masaa matatu kupiga bao moja.
Je wakuu kuna ukweli wowote kuhusu hili?