Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Nina machine ya photocopy IR 3300 saa hii kitu imevunjika kama kuna mwenye nayo naomba aniuzie,maana sipigi copy kabsa bila ya hii kitu,inaitwa paper deck(sina hakika kama ndio jina lake) ila inakaa upande wa kulia ambako karatasi ndio zinatoka kwenye tray zinapita hapa kwenye hii kitu,mafundi wa photocopy nadhani mtakuwa mnaijua,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app