Wana JF na wananchi wote,
Hapa Arusha kumekuwa na tatizo la umeme tokea mwaka jana 2015 esp tokea kipindi cha kampeni mpaka sasa Umeme umekuwa shida na wala hakuna maelezo yoyote au taarifa yoyote kutoka Office za TANESCO Mkoa au Makao makuu Dar kutujurisha kinachoendelea na kwanini umeme...
Wana JF,
Tanzania yetu hii jamani ina mambo, Tokea Majuzi kumekuwa na kasheshe la kufumuka kwa tozo la kodi hapo bandari dar-es-salaam, Kwa wafanya biashara wengi wamekuwa wakilia sana esp wale wa kariakaoo na kwingineko. Twashindwa kuwaelewa Tatizo kubwa ni nini hapo bandari je ni ugonvi wa...
Wana JF,
Kuna kisa kimoja ambacho ni issue live mwanamke kaachana na Mumewe na kurudi kwao na kupangisha chumba chake ila hakai hapo ni anakaa kwao na kisa kagundua Mumewe ana Mwanamke mweingine alie funga nae ndoa kwa siri na ana mtoto mkubwa pia.
Kipindi cha matatizo yake yeye na mumewe...
Wana JF,
Inafika mahali mtu unajiuliza maendeleo ya nchi huja kwa vyama vya kisiasa au ni serikali na wananchi ndio washilikianapo huleta maendeleo yao kwa manufaa yao na kujenga Taifa lao?
Sasa Majuzi Ndugu Mbunge LEMA alikuwa akipokelewa hapa Arusha kweli ilikuwa shamla shamla kweli kwa mtu...
Wana JF,
habari mpaka tulizo zipata kutoka tanga ambako mashindano ya Taifa Cup Basketball yaliyoanza leo jioni huko Tanga yame reta taflani kubwa tuuu, na mmoja katika yote ni kutokuwa na malazi ya wachezaji walio toka mikoani wamerundikwa sehemu mmoja ka UMISETA chakula mpaka sasa team nyingi...
Wana JF,
habari mpaka tulizo zipata kutoka tanga ambako mashindano ya Taifa Cup Basketball yaliyoanza leo jioni huko Tanga yame reta taflani kubwa tuuu, na mmoja katika yote ni kutokuwa na malazi ya wachezaji walio toka mikoani wamerundikwa sehemu mmoja ka UMISETA chakula mpaka sasa team nyingi...
Wana JF,
Huku Arusha ukiwa wapita Ngulelo karibu na Cet Garden Bar, Hali ya hewa imechafuka kabisa.
Hii ni kutokana na kuachiwa huru kwa Mtuhumiwa kwa kesi ya Mauaji. Mtuhumiwa ni Remini Ni Fundi magari na ana Garage yake kule sakina. Inasemekana alimpiga shaba mtu na huyo marehemu hajazikwa...
Wana JF,
Napenda kuja na hoja hii ya CHANGI YA RADA na KUHAIDIWA KUWA ITATUMIKIKA KUBORESHA MAHITAJI YETU KATIKA ELIMU E.S.P VITABU
Waziri mkuu pinda alitetea Bungeni hoja ya changi ya rada kupelekwa Elimu na wakasisitiza kabisa itakuwa kwa ajili ya kuchapisha vitabu.
Cha kustahajabisha sana...
Wana JF,
kumekuwa na wimbi kubwa la uvamizi katika nyumba za raia wengi hapa Arusha, Wezi hawa wanakuja kwa makundi makubwa kama watu 30 wanavamia nyumba kadhaaaa wanakomba vitu na wanapakia kwa Kenta na wanasepa.
Last 2 week huko ngulelo rafiki yangu na majirani wenzake walivamiwa na kundi la...
Wana JF,
Napenda Kumweleza kibonde mambo machache tuuu esp katika sakata la wabunge wa zanzibar kutoka nje ya Bunge. kwa maoni yake kibonde alivyo kuwa akijadiri baada ya wabunge kupata habari ya kuwa Meri Imezama.
Kibonde ulisema ati kuwa wabunge walio toka Bungeni walikuwa na "UTOVU WA...
Wana JF,
Leo Jioni kutoka BUNGENI Speaker ANNA MAKINDA katika hitimisho lake akiwaambia wabunge kuwa wasipende sana kuwatajka watu wakati wakichangia hoja zao na akadai kuna mashitaka mengi sana toka humo bungeni na nje ya bunge yako kwa kamati ya maadili,
Alipo niacha hoi sana ni pale alipo...
Wana JF,
Kwa kuwajulisha tuu kiufupi haya yote yanayo tokea sasa ni matokeo ya Uongozi wetu tokea huko nyuma hadi hapa tulipo fika kama uongozi ungekuwa bora , siasa zinge kuwa safi haya mambo yange kuwa ni tofauti.
Nakuja kwa hoja yangu, Mnamo miaka ya mwisho wa 1980's kuja kwa mwanzoni mwa...
Waja JF,
Wajumbe watatu wa UVCCM arusha wakiongozwa na Aliye kuwa M/Kiti wa UVCCM (wilaya ya arusha mjini) zamani bwana Bananga na Mjumbe wa UVCCM arusha Mjini na Mjumbe wa UVCCM Arumeru, Majira haya wana hojiwa na vyombo hivyo vya habari kuhusiana na mambo au changamoto zima la viongozi wengi...
Wana JF,
Hapa arusha leo takribani ni dakika ishirini zimepita raia wengi wakitokea Mshono chini wakielekea office ya mkuu wa mkoa ni sakata la aridhi Kati ya Raia na Wanajeshi(JWTZ) Huko Mshono eneo la Mlangalini na Kiselia.
Nime pata nafasi ya kuongea na mtu mmoja kati ya hao wanao andamana...
Wana JF.
Nimekuwa nikijiuliza sana kwini kuna tatizo gani kwa huyu bwana mdogo toka aingie NBA mwaka 2009 alikuwa 2nd pick overall na Memphis Grizzlies na sasa yuko Houston Rockets performance yake ina utata sana kwa sie tunao fuatilia sana mchezo huo wa Basketball (NBA) sielewi ni kale...
Wana JF,
Katika safari zangu huko kasikazini mwa tanzania na huku kanda ya ziwa nilikuja kutana na matatizo katika Bank zetu hizi na nikagundua kwa silimia fulani hizo camera walizo zifunga ndani ya ma Bank zina urakini wa ku record data au niseme "daily activities "
Kwa wengeine wanaweza...
Wana JF,
Niko ndani ya Jiji la Arusha ila makubwa nimeyakuta hapa
Jamani wandugu, kilichotekea huku Matongee Club Arusha Jana Usiku ni aibu tuuuupu kweli kwani Jana Fally Ipupa alipaswa kutumbuiza wana Arusha,
Kiinglio Front Seats a.k.a VIP = 30,000/=Tsh and Back Seats = 15,000/=Tsh
Cha...
Wana JF,
Kwa Mujibu wa Mwana harakati aliyeko arusha kani juza kuwa wale wanachama wa CHADEMA waliokamatwa na Police Mtaa wa DECEMBER jana mchana wakiwa kwenye shughuli zao bianafsi na kuswekwa rumande(Police) kwa sasa wako mahakamani.
NB;
Na yasemekana M/Kiti wa BAVICHA hayomo kwenye kundi...
Wana JF,
Jana katika kipindi cha njia panda - Radio Clouds FM kulikuwa na mjadala ambao ulianza tokea week iliyo pita kuhusu vijana wanao pelekwa nchi za kiarabu kufanya kazi na kujikuta kunyanyaswa na kupata mateso na kuwabidi kurudi tanzania kwa shida sana
Kwenda kwa hawa watu huko nchi za...
Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.