Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kwa Mujibu wa Mwana harakati aliyeko arusha kani juza kuwa wale wanachama wa CHADEMA waliokamatwa na Police Mtaa wa DECEMBER jana mchana wakiwa kwenye shughuli zao bianafsi na kuswekwa rumande(Police) kwa sasa wako mahakamani.
NB;
Na yasemekana M/Kiti wa BAVICHA hayomo kwenye kundi Hilo bali ameonekana na yupo akifanya utaratibu wa kuwawekea mdhamana wanachama hao
Kwa walio Arusha mtujuze zaidi
Kwa Mujibu wa Mwana harakati aliyeko arusha kani juza kuwa wale wanachama wa CHADEMA waliokamatwa na Police Mtaa wa DECEMBER jana mchana wakiwa kwenye shughuli zao bianafsi na kuswekwa rumande(Police) kwa sasa wako mahakamani.
NB;
Na yasemekana M/Kiti wa BAVICHA hayomo kwenye kundi Hilo bali ameonekana na yupo akifanya utaratibu wa kuwawekea mdhamana wanachama hao
Kwa walio Arusha mtujuze zaidi