Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Katika safari zangu huko kasikazini mwa tanzania na huku kanda ya ziwa nilikuja kutana na matatizo katika Bank zetu hizi na nikagundua kwa silimia fulani hizo camera walizo zifunga ndani ya ma Bank zina urakini wa ku record data au niseme "daily activities "
Kwa wengeine wanaweza dhani ni utani au kuto amini ila nasema haya kwa matukio niliyo kutana nayo,
Tukio la kwanza katika moja ya Bank huko kasikazini wakati natoa pesa kwa ATM hazikutoka na kesho yake nikaingia Bank ndani kuhoji kulikoni? wakaniambia pesa ilitoka "kwa jinsi system yao inavyosema" me nikwaomba tu tukague kwa kuangalia CCTV waka sema ooh bro tutacheck then tutakujurisha na jioni yake nilipo pita kwa ATM nikakuta pesa na nikazitoa vyema tuu.
Tukio la Pili ni huku kanda ziwa Rafiki yangu alichukua pesa na mtoa pesa akadhani alimzidishi na alipo itwa kwa mahojiano yeye akawaambia tupitie CCTV tuone ukweli halisi maana yeye alisema hakuzidishiwa napo wakapiga chenga ila uzuri kumbe ni mteja wao mzuri tu alizidishiwa pesa that day na akazirudisha,
Katika hali hii ni jinsi gani inavyo onyesha kuna uzembe mkubwa kuanzia makao makuu Dar hizi Bank za mikoani zina puuziwa sana na ndizo zina wateja wengi pia kufanya Bank zetu kuendelea kutupa huduma lakini kama inafika mahali wanapuuzi hadi CCTV hazi wezi kusave daily activities duuu hii ni hatari sana.
My Take;
Police wawe na kikosi au Kitengo maarumu cha kukagua CCTV za kwenye Ma bank au maeneo husika kwa watu walio weka CCTV wajiandikishe ili kukitokea kitu kuwe na upelelezi wa kitaalamu utumike sio police wabahatishe tuu kazi ya kuchunguza.
--"Au Kampuni fulani ipewe nguvu kisheria kusimamia na kudhibiti wale wote walio funga CCTV nchi kama UK mfumo huo upo kuweka CCTV lazima kuji register kuwa una mfumo wa CCTV kwako au kwenye kiwanda chako au biashaza zako"
Makao makuu"ALL BANKS HQ" ni umefika muda sasa wa kuchukua action na kuwajibika kwa Bank za mikoani na sio kukaaa Dar na kula viyoyozi, Future Action plan zenu na Budget zenu kweli zina timilizika au ni mboyoyo nanyi mumeingiliwa na jinamizi la ahadi za kisiasa?
Ma branch Manager wengi wa ma Bank zetu huko mikoani nao wamebweteka sana na hivyo vyeo vyao wawe makini huwezi kweli ukakaa tu bila kujua CCTV ina record au hai record ndani ya branch yako.
Karibuni mchangie hoja
Thanks
Katika safari zangu huko kasikazini mwa tanzania na huku kanda ya ziwa nilikuja kutana na matatizo katika Bank zetu hizi na nikagundua kwa silimia fulani hizo camera walizo zifunga ndani ya ma Bank zina urakini wa ku record data au niseme "daily activities "
Kwa wengeine wanaweza dhani ni utani au kuto amini ila nasema haya kwa matukio niliyo kutana nayo,
Tukio la kwanza katika moja ya Bank huko kasikazini wakati natoa pesa kwa ATM hazikutoka na kesho yake nikaingia Bank ndani kuhoji kulikoni? wakaniambia pesa ilitoka "kwa jinsi system yao inavyosema" me nikwaomba tu tukague kwa kuangalia CCTV waka sema ooh bro tutacheck then tutakujurisha na jioni yake nilipo pita kwa ATM nikakuta pesa na nikazitoa vyema tuu.
Tukio la Pili ni huku kanda ziwa Rafiki yangu alichukua pesa na mtoa pesa akadhani alimzidishi na alipo itwa kwa mahojiano yeye akawaambia tupitie CCTV tuone ukweli halisi maana yeye alisema hakuzidishiwa napo wakapiga chenga ila uzuri kumbe ni mteja wao mzuri tu alizidishiwa pesa that day na akazirudisha,
Katika hali hii ni jinsi gani inavyo onyesha kuna uzembe mkubwa kuanzia makao makuu Dar hizi Bank za mikoani zina puuziwa sana na ndizo zina wateja wengi pia kufanya Bank zetu kuendelea kutupa huduma lakini kama inafika mahali wanapuuzi hadi CCTV hazi wezi kusave daily activities duuu hii ni hatari sana.
My Take;
Police wawe na kikosi au Kitengo maarumu cha kukagua CCTV za kwenye Ma bank au maeneo husika kwa watu walio weka CCTV wajiandikishe ili kukitokea kitu kuwe na upelelezi wa kitaalamu utumike sio police wabahatishe tuu kazi ya kuchunguza.
--"Au Kampuni fulani ipewe nguvu kisheria kusimamia na kudhibiti wale wote walio funga CCTV nchi kama UK mfumo huo upo kuweka CCTV lazima kuji register kuwa una mfumo wa CCTV kwako au kwenye kiwanda chako au biashaza zako"
Makao makuu"ALL BANKS HQ" ni umefika muda sasa wa kuchukua action na kuwajibika kwa Bank za mikoani na sio kukaaa Dar na kula viyoyozi, Future Action plan zenu na Budget zenu kweli zina timilizika au ni mboyoyo nanyi mumeingiliwa na jinamizi la ahadi za kisiasa?
Ma branch Manager wengi wa ma Bank zetu huko mikoani nao wamebweteka sana na hivyo vyeo vyao wawe makini huwezi kweli ukakaa tu bila kujua CCTV ina record au hai record ndani ya branch yako.
Karibuni mchangie hoja
Thanks