Wadau naombeni kujua ni vigezo vipi au sheria zipi zinatumika kuhusu kuwahifadhi wageni katika nyumba yako. Nina nyumba yangu nahitaji Ku host volunteers naombeni kujua ni taratibu zipi zinahitajika na document zipi zinatakiwa kwa kupata usajili . asanteni
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria...
Wakuu narudia tena kuirudisha hii mada mpaka tupate majibu kutoka wizara husika. Kumekuwa na utitiri wa shule nyingi za chekechea na zingine zikiitwa Tuition zinazochukua watoto chini ya miaka mitano ambao hawajaanza shule. Katika safari zangu nilizotembea katika mji wa Arusha nimeona mjini...
Wakuu naombeni msaada kuhusu hii wizara ya elimu. Kuna mambo naona hayaendi sawasawa kuhusu hizi shule za chekechea/nursery.
Mimi sio mwenyeji sana nimehamia Arusha majuzi tu nikabahatika kupita maeneo ya Sanawari kuanzia Sanawari ya chini mpaka ya juu nimekuta shule za chekechea ni nyingi...
Wadau mimi jana nimekwazika sana na maneno ya mtangazaji aliyekuwa anatuwakilisha pale kwenye mazishi ya baba yetu kipenzi Dr. Mengi. huyu mtangazaji aliiambia umati kwamba hapo mzee mengi alipozikwa ndipo watakapozikwa familia yake yote. Tena akaenda mbali zaidi kwa kuwataja kwa majina kwamba...
Kwa wale wenye kupenda kufanya biashara ndogo ndogo nina vyumba vya kupanga vipo sanawari barabarani kabisa na kuna umeme. kodi yake ni shilingi elfu 40 kwa mwezi ukija tutaongea. wahi mapema upate unafuu. kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi 0653 954094
Kwa wale wenye kupenda kufanya biashara ndogo ndogo nina vyumba vya kupanga vipo sanawari barabarani kabisa na kuna umeme. kodi yake ni shilingi elfu 40 kwa mwezi ukija tutaongea. wahi mapema upate unafuu. kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi 0653 954094
Site ya biashara Arusha inakodishwa. inafaa kwa biashara yoyote. in umeme na maji Kufika ni vizuri zaidi kuliko picha. Kodi ni maelewano. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba 0653 954094
Site ya biashara Arusha inakodishwa. inafaa kwa biashara yoyote. in umeme na maji Kufika ni vizuri zaidi kuliko picha. Kodi ni maelewano. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba 0653 954094
Site ya biashara Arusha inakodishwa. inafaa kwa biashara yoyote. in umeme na maji Kufika ni vizuri zaidi kuliko picha. Kodi ni maelewano. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba 0653 954094
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili kwa mwezi. kwa mawasiliano piga 0653 954094
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili kwa mwezi. kwa mawasiliano piga 0653 954094
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili kwa mwezi. kwa mawasiliano piga 0653 954094
Ni site nzuri inayofaa kwa biashara ya day care au dispensary au security guard, au hotel ina umeme na maji ndani ya fence karibu na barabara bei yake ni milioni moja kwa mwezi. ukiweza kufika utafanikiwa zaidi kuliko kurushiwa picha asante. Kwa mawasiliano piga simu 0653 954094
Ni site nzuri inayofaa kwa biashara ya day care au dispensary au security guard, au hotel ina umeme na maji ndani ya fence karibu na barabara bei yake ni milioni moja kwa mwezi. ukiweza kufika utafanikiwa zaidi kuliko kurushiwa picha asante. Kwa mawasiliano piga simu 0653 954094
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. kwa mawasiliano piga 0653 954094
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. kwa mawasiliano 0754745677
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.