Nyumba ya kupanga Arusha

Nyumba ya kupanga Arusha

Emaoi

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
307
Reaction score
235
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. kwa mawasiliano 0754745677
 
daaah wewe mtu mgumu kweli hii nyumba ina nn had uweki picha?
 
Eneo kutaja umeshindwa basi hata picha ya nyumba nayo umeshindwa?
 
Kama kuna single nicheki pm
Tuwasiliane nyumba ya kupanga inapatikana Arusha. vyumba viwili vya kulala sio master, ina jiko, choo, bafu,store na sebule. kodi ni laki mbili kwa mwezi. pia ina uzio, kuna umeme na maji. kwa atakayeweza kufika eneo husika kuna punguzo la bei. Piga 0653 954094
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom