Nyumba inapangishwa Arusha

Nyumba inapangishwa Arusha

Emaoi

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
307
Reaction score
235
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. kwa mawasiliano piga 0653 954094
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom