Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.
Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya...
Salaams wana jamvi.
Mimi ni mdau wa miaka mingi humu ila sio mara nyingi kuwa active lakini huwa napitia sana baadhi ya thread zinazohusu biashara na ujasiriamali.
Mimi naishi maeneo ya Kitunda relini na by profession ni Graphics designer ila tangu nikiwa kijana mdogo (teenager) miongoni mwa...
Waliojiandikisha jimbo la Geita ni watu 148,360
Waliojitokeza kupiga kura ni watu 49,700
Watu zaidi ya 98,000 hawajapiga kura
Uthibitisho ya kwamba, Watanzania walio wengi wamechoshwa na haya mambo ya kuhangaishwa kisha maamuzi yao kupingwa na walio wachache.
Waliojiandikisha wengi wamefanya...
Habari zenu wanajamvi.
Naulizia ili kufahamu kwa niaba ya rafiki yangu.
Rafiki yangu alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa jijini Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi na hiyo kampuni kwa takriban miaka mitano.
Kwa kawaida kampuni ambayo alikuwa akifanya nayo kazi ilikuwa inawapatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.