Search results

  1. Mbunifu Mwaminifu

    Hivi kuna maandamano yoyote yaliyoitishwa Tanzania juu ya Serikali kisha yakafanikiwa?

    Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali. Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya...
  2. Mbunifu Mwaminifu

    Nataka kufungua mgahawa ambao utakuwa maalum kwa kuuza Biriani tu maeneo ya Kinondoni

    Salaams wana jamvi. Mimi ni mdau wa miaka mingi humu ila sio mara nyingi kuwa active lakini huwa napitia sana baadhi ya thread zinazohusu biashara na ujasiriamali. Mimi naishi maeneo ya Kitunda relini na by profession ni Graphics designer ila tangu nikiwa kijana mdogo (teenager) miongoni mwa...
  3. Mbunifu Mwaminifu

    Uchaguzi 2020 Hii inaonesha ni jinsi gani hata Watanzania wameshapoteza imani na demokrasia ya vyama vingi jinsi inavyopelekwa hapa kwetu

    Waliojiandikisha jimbo la Geita ni watu 148,360 Waliojitokeza kupiga kura ni watu 49,700 Watu zaidi ya 98,000 hawajapiga kura Uthibitisho ya kwamba, Watanzania walio wengi wamechoshwa na haya mambo ya kuhangaishwa kisha maamuzi yao kupingwa na walio wachache. Waliojiandikisha wengi wamefanya...
  4. Mbunifu Mwaminifu

    Nahitaji msaada wa kisheria kwa mfanyakazi ambae mkataba wake umesitishwa bila notice ya mwezi mmoja lakini amelipwa mshahara wa mwezi mmoja zaidi

    Habari zenu wanajamvi. Naulizia ili kufahamu kwa niaba ya rafiki yangu. Rafiki yangu alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa jijini Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi na hiyo kampuni kwa takriban miaka mitano. Kwa kawaida kampuni ambayo alikuwa akifanya nayo kazi ilikuwa inawapatia...
  5. Mbunifu Mwaminifu

    Habari za jioni Wakuu

    Mi napita tu kwa muda huu kuwajuulia hali na kuwatakia cku njema
Back
Top Bottom