Mbunifu Mwaminifu
Member
- Dec 13, 2012
- 67
- 352
Salaams wana jamvi.
Mimi ni mdau wa miaka mingi humu ila sio mara nyingi kuwa active lakini huwa napitia sana baadhi ya thread zinazohusu biashara na ujasiriamali.
Mimi naishi maeneo ya Kitunda relini na by profession ni Graphics designer ila tangu nikiwa kijana mdogo (teenager) miongoni mwa vitu napenda ni kupika.
Zaidi napenda sana na naenjoy kupika biriani na pilau. Nina kama miezi mitano sasa tangu nimeacha kazi kwa muhindi na kwa hiyari yangu, na sababu kubwa ni kutaka kuwa huru na kufanya mambo yangu binafsi bila mipaka ya muda wa kazi.
Nimefkiria kufanya biashara, na biashara ambayo imenijia kichwani ni biashara ya mgahawa ambayo itaspecify chakula cha biriani, au hata kama kutakuwa na nyongeza basi naweza kuongeza ila chakula kikuu kiwe ni biriani.
Nafahamu Kinondoni ina watu wengi wa “kishuwa” ambao biriani inaweza kuwa ni miongoni mwa vyakula wanavyopenda lakini nataka kufahamu zaidi je, availability ya chakula cha aina hiyo ipo? Na vipi kama nitaanza kufanya, inaweza kuwa yenye mafanikio kwangu?
Nakaribisha mawazo, fikra na hata uzoefu wa wadau waliopo maeneo hayo au hata recommendation ya maeneo gani yanaweza kuwa ni maeneo rafiki.
Naomba kuwasilisha na natanguliza shukrani zangu.
Mimi ni mdau wa miaka mingi humu ila sio mara nyingi kuwa active lakini huwa napitia sana baadhi ya thread zinazohusu biashara na ujasiriamali.
Mimi naishi maeneo ya Kitunda relini na by profession ni Graphics designer ila tangu nikiwa kijana mdogo (teenager) miongoni mwa vitu napenda ni kupika.
Zaidi napenda sana na naenjoy kupika biriani na pilau. Nina kama miezi mitano sasa tangu nimeacha kazi kwa muhindi na kwa hiyari yangu, na sababu kubwa ni kutaka kuwa huru na kufanya mambo yangu binafsi bila mipaka ya muda wa kazi.
Nimefkiria kufanya biashara, na biashara ambayo imenijia kichwani ni biashara ya mgahawa ambayo itaspecify chakula cha biriani, au hata kama kutakuwa na nyongeza basi naweza kuongeza ila chakula kikuu kiwe ni biriani.
Nafahamu Kinondoni ina watu wengi wa “kishuwa” ambao biriani inaweza kuwa ni miongoni mwa vyakula wanavyopenda lakini nataka kufahamu zaidi je, availability ya chakula cha aina hiyo ipo? Na vipi kama nitaanza kufanya, inaweza kuwa yenye mafanikio kwangu?
Nakaribisha mawazo, fikra na hata uzoefu wa wadau waliopo maeneo hayo au hata recommendation ya maeneo gani yanaweza kuwa ni maeneo rafiki.
Naomba kuwasilisha na natanguliza shukrani zangu.