Mbunifu Mwaminifu
Member
- Dec 13, 2012
- 67
- 352
Waliojiandikisha jimbo la Geita ni watu 148,360
Waliojitokeza kupiga kura ni watu 49,700
Watu zaidi ya 98,000 hawajapiga kura
Uthibitisho ya kwamba, Watanzania walio wengi wamechoshwa na haya mambo ya kuhangaishwa kisha maamuzi yao kupingwa na walio wachache.
Waliojiandikisha wengi wamefanya hivyo kwa ajili ya kupata vitambulisho tu ndio mana hawajaenda kupiga kura.
Waliojitokeza kupiga kura ni watu 49,700
Watu zaidi ya 98,000 hawajapiga kura
Uthibitisho ya kwamba, Watanzania walio wengi wamechoshwa na haya mambo ya kuhangaishwa kisha maamuzi yao kupingwa na walio wachache.
Waliojiandikisha wengi wamefanya hivyo kwa ajili ya kupata vitambulisho tu ndio mana hawajaenda kupiga kura.