Kama leo tutashinda mchezo huu, basi nitazidisha imani ya kushinda EPL hadi 65%. Stoke sio timu ya kuifunga hovyo hasa kwa arsenal, ila km Sanchez atarudi na kufanya vzr basi atakuwa na hali na hamasa ambayo itamfanya ozil awe na imani zaidi na pass zake, kwakuwa Walcott anapoteza nyingi...
Kabla ya Aubameyang kutua Dortmund, Wenger aliwahi kumfukuzia kinafki km anavyofanyaga ila akapita kushoto leo hana budi kula matapishi yake kwakuwa now hela IPO....!
Sorry, naomba kujua eti, ni namna gani unaweza kununua bidhaa JUMIA, je kuna matumizi ya tembo MasterCard kama kwingine au inakuaje? Natakunguliza shukrani
Kwa upande wa television, sio Mimi tu pamoja na watu kibao, hakuna mtangazaji anaboa kama SAM MISAGO, huyu jamaa mambo yake anayajua mwenyewe, mwanaume ni vigumu sana kuwa vile
Haya hongera kwa kuwa na uchungu utazani ww ndo ulimpa Diamond hela ya kwanza ya kuingia studio au ww ndo uliingia Leba...! Ttz huku jf hakuna og ID so ukitaka kutafuta kick kwa kudiss mtu bola uende fb,Twitter au instagram ili ujulikane
Ungekuwa team Diamond wa kwanza kumsifia Alikiba. Tushawazoea nyie na hizo team zenu, mnakuja mnaandika upuuzi kiasi kwamba km ni mtu mzima basi watu wanawaheshimu huko makwenu wakiona huu ujinga watawadhalau sana, kila shabiki aje na uzi wa kumdisi diamond au Alikiba ni upuuzi, mnajifanya mna...
Duhhh! Hawa mastaa wa bongo dakika 2 huku dakika kule, tangia wolper apate shavu la kuonekana kwnye kideo cha simba..! Eti nayeye kaanza kujifanya team simba
Bila shaka zitakuwa ni nyimbo zilizotazamwa zaidi nchini Kenya, kwakuwa hiyo nyimbo ya wiz khalifa ina zaidi ya viewers billion 1. Wakati Nana ya bwana mkubwa Diamond ina km million 7.
Kunaongeza kuwa na hamu ya mapenzi na sio uwezo, uwezo na hamu ni vitu viwili tofauti, uwezo katika mapenzi ni kuhusu experience uliyonayo katika mapenzi, kuwa na upara alafu huna experience uone utakavyo lukaluka km rasta kwenye mwili usio na afya
Kwa hao uliowaweka karata itamuangukia kubanda japokuwa nakili kuwa mchopanga yuko vizuri ila kukaa kimya muda mrefu kunapunguza hadhi yake...! ila kwa bongo wote waandike hakuna mwandishi wa kumzidi NASH MC full stop
Kusoma ww ndo utakuwa wa kwanza, au unataka kuja kuwa samia mwingine, msaidie mwenzio kumpatia mtoto, kuna familia baada ya kusoma, sasa wewe kasome alafu uachane na mwenzio uje uone ilivo kazi kumpata mwingine mwenye malengo
Siungi mkono mtoa mada, ila huo uislamu unaouongelea ww sijui wa nchi gani, kwakuwa nchi za kiislamu ndo kwanza hazina hizo sifa unazosema uislamu umeleta yani...! amani,upendo,usawa,maelewano labda hiyo nchi mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.