Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

ukifikilia kwa haraka haraka unaweza kuhisi mungu yupo
lakini ukikaa ukatafakali kwa kina na kwa mapana marefu na ukiangalia matatizo ambayo yanaikabili dunia bila solution utagundua kwamba mungu hayupo ila watu wanadanganywa
mm zamani nilikua najiuliza maswali mengi sana kuhusu mungu na niliishi kwa hofu sana nilikua najua muda wowote kinaweza kutokea chochote lakini siku moja nilikuja kugundua mungu hayupo na toka siku hiyo maisha yangu yamebadilika sana na ninayaona maisha yangu halisi jinsi yalivyo na namna gani niishi sio niishi kwa kuhisia vitu ambavyo avipo.

Nahisi kama ulikuwa unaabudu yule mungu aliyetaka tuwe watumwa tuuu...
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


freemanson
 
Last edited by a moderator:
uislamu umeleta amani,upendo,ustaarabu,haki,maelewano ktk jamii,usawa,umekemea rushwa,ufisadi,uzinifu,mauaji,umekataza maovu yote na kuamrisha kutenda mema.

Siungi mkono mtoa mada, ila huo uislamu unaouongelea ww sijui wa nchi gani, kwakuwa nchi za kiislamu ndo kwanza hazina hizo sifa unazosema uislamu umeleta yani...! amani,upendo,usawa,maelewano labda hiyo nchi mpya
 
Mkuu sasa kama mwili umeshakufa maumivu yanaongezekea wapi? Hebu naomba ufafanuzi kidogo hapo.

Cc. aretasludovick
Hizi ni imani. Imani SIO sayansi kwamba ukiwa na theory unaweza kuprove. Iman ukiaambiwa mwanamke alibeba mimba bila kukutana na mtu mume (kisayansi na kibaiolojia haiwezekani) hutakiwi kuhoji unatakiwa KUAMINI
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni imani. Imani SIO sayansi kwamba ukiwa na theory unaweza kuprove. Iman ukiaambiwa mwanamke alibeba mimba bila kukutana na mtu mume (kisayansi na kibaiolojia haiwezekani) hutakiwi kuhoji unatakiwa KUAMINI


Mi sitaki kuamini nataka kuelewa.
 
Mi sitaki kuamini nataka kuelewa.
Sasa hiyo sio imani tena ni sayansi.. Mi mkristo kwa mfano.. Ukiambiwa yesu alifufuka natakiwa nielewe sayansi ya kufufuka ikoje? Ama alitembea juu ya maji hapo sayansi yake ni kuwa alivaa maboya ya kuogelea? Ama kina daniel walitupwa kwenye pango la simba na hawakuguswa hao Simba walipigwa sindano ya ganzi kwanza? ama kwa dini za kimila mababu kutambika na mvua zikanyesha.. Umeona ukitaka kuelewa haitakuwa imani tena itakuwa ni theories unazitolea maelezo…
 
"Alie post hii kitu akili anazo lakini hazifanyi kazi Yake,
Naweza kukwambia kwamba ushahidi pekee kwa Watu kama ww ni
1. Ukiwa na shida nzito ni lazima utamrudia m/mungu yan utake usitake lazima utaomba msaada kutoka kwake.
Hivyo basi mm binafsi nnakuombea upate mtihan walau mmoja tu mzito, ili upate kumtukuza , na kumnyenyeka alie kuumba, puuz ww
 
Sasa hiyo sio imani tena ni sayansi.. Mi mkristo kwa mfano.. Ukiambiwa yesu alifufuka natakiwa nielewe sayansi ya kufufuka ikoje? Ama alitembea juu ya maji hapo sayansi yake ni kuwa alivaa maboya ya kuogelea? Ama kina daniel walitupwa kwenye pango la simba na hawakuguswa hao Simba walipigwa sindano ya ganzi kwanza? ama kwa dini za kimila mababu kutambika na mvua zikanyesha.. Umeona ukitaka kuelewa haitakuwa imani tena itakuwa ni theories unazitolea maelezo…
Mi siamini hivyo nahitaji kuelewa tu
 
haya mambo ya dini huwa siyaamini ila Imani yangu inaamini kuwa kuna mwuumbaji , ..
 
Wengine wanasema subiri mpaka uingie kaburini ndo utajua kama Mungu yupo au la. Vpi kuhusu wahindu wanao choma moto wafu wao? Wa Tibet wanaolisha ndege pori wafu wao au baadhi ya jamii za America kusini wanao tupa kwenye mito wafu wao. Kama Mungu yupo inabidi tumjue tukiwa hai sio mpaka tufe.
 
Nimejaribu kufuatilia hoja za mtoa mada pamoja na wachangiaji wengine. hoja hii ya mtoa Mada inawapoteza watu wengi wenye uvivu wa kufikir inashangaza sana MTU anajenga hoja het kama mungu yupo yy katokea wapi au kaumbwa na nan. hapa wanakusudia kama hatuna majibu ya maswali haya maana YAKE mungu hayupo. hoja kama hiz ni dhaifu sana. hivi ikiwa tutawauliza chanzo cha mwanaadamu ni nn. ikiwa hatuna jibu ndio tuseme mwanaadam hayupo. hivyo kutumia hoja ya kwa vile mungu hajulikan hasili YAKE ndio kusema mungu hayupo. basi watu mwenye hoja kama hii wasiishie hapo tu wanatakiwa pia wakatae uwepo wa dunia kwan ni nan aneajua hilo tufe lililo pasuka ikatokea dunia lilitokea wap je kama hatujui tukatae pia uwepo wa dunia. ktk maswal haya kuna kitu cha kujifunza (1)lazima tukir upeo wa ufahamu wetu ni mdogo hivyo so kila swal tunalojiuliza lazima tupate jibu ndio tusadikishe usahh wake.(2)kila binaadam mwenye akil lazima akir ameumbwa na mungu kwan tokea ilipotamkwa kauli hii kwamba yy mwenye mungu ndie aliye tuumba maelfu ya miaka imekatika hakuna yeyote aliekuja na nazaria nyingine. wanaopinga mpaka SASA hawajakuja na jibu mbadala.ninazo hoja nying za kuthibitisha uwepo wa mungu nitakuja na Mada ya kuthibitisha uwepo wa mungu
 
Last edited:
Swali lilikuwa rahisi tu, MWILI UMESHAKUFA UTASIKIAJE MAUMIVU MAKALI ZAIDI? Kama huna jibu ila una hakika na ulichokiandika kaa kimya watakuja wanaoweza watajibu. Ila sitafuti kitabu chochote kile.
Toka lini elimu ikatafutwa kwa viongozi wa dini? Ingekuwa elimu inapatikana huko unadhani kungekuwa na shule?
Kwan maana ya elimu nn Mkuu?
 
freemanson
Napataga shida sana Mkuu ktk hili unakuta MTU ametokaje ya ndoa yake kisha anaenda kwa baba mchungaji anamwambia baba mchungaji nmetenda dhambi naomba toba. Baba mchungaji anamwabia umesamehewa dhambi zako. Hv km tunamuam mungu yupo na ndiye Mkuu Wa ulimwengu na anayepaswa kuabudiwa na kuombwa msamaha kwa makosa yote sasa baba mchungaji anasamehee watu zambi zao kama nan?
 
Napataga shida sana ktk hili unakuta MTU ametokaje ya ndoa yake kisha anaenda kwa baba mchungaji anamwambia baba mchungaji nmetenda dhambi naomba toba. Baba mchungaji anamwabia umesamehewa dhambi zako. Hv km tunamuam mungu yupo na ndiye Mkuu Wa ulimwengu na anayepaswa kuabudiwa na kuombwa msamaha kwa makosa yote sasa baba mchungaji anasamehee watu zambi zao kama nan?
 
Napataga shida sana Mkuu ktk hili unakuta MTU ametokaje ya ndoa yake kisha anaenda kwa baba mchungaji anamwambia baba mchungaji nmetenda dhambi naomba toba. Baba mchungaji anamwabia umesamehewa dhambi zako. Hv km tunamuam mungu yupo na ndiye Mkuu Wa ulimwengu na anayepaswa kuabudiwa na kuombwa msamaha kwa makosa yote sasa baba mchungaji anasamehee watu zambi zao kama nan?

Kwani Dhambi ni nini Mkuu?Au unaweza kunifafanulia na Mimi nifahamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom