Usajili Updates:
Pierre-Emerick Aubameyang
Mkuu Arsenal wapo na Aubemayang wameongeza dau na wameweka mezani milioni 44.6 kwa mchezaji bora wa Africa.
Na hizi habari zinatoka ndani kabisa.
Pia Arsenal wanzungumza na PSG kuhusu Adrien Rabiot na PSG wanataka milioni 15 hivi.
Ikiwa mambo yote yatakwenda kama inavyopangwa basi hao ni wachezaji wawili kati ya watatu ambao Arsenal inawahitaji mwezi huu.
Victor Wanyama yeye ni Julai kuja kuziba nafasi za Arteta na Flamini.
Wachezaji kama Joel Campbell huenda akaenda Galasaray kumpisha Rabiot na Mathieu Debuchy
huenda akaenda Roma ya Italy kwa mkopo au moja kwa moja.
Sedge Gnabry anakwenda Brighton kujiendeleza zaidi.
Wenger sasa amegundua kwamba uzoefu ndio tija na hataki kuchezea bahati iliopo na hataki kuwatumia wadogo watakaochea na Sunderland Jumamosi kwenye FA cup.
Updates zaidi zinakuja.