Wasomi ni shida tupu kuliko hawa unti book. Me nimetendwa na msomi? Me naona bora kuacha kuliko kuachwa. Kuachwa inauma ni shughuli pevu. Tafuta mwingine ili akikuzingua piga chini bro kuliko kupigwa chini wewe. Utalia
Huyo kuna kila haja ya kumtumbua majipu haraka sana tena bila ganzi. Hawo ndio wahujumu uchumi. Yawezekana ana ma lory ya mkopo huyo sasa anaona serikali ikiwekeza ktk leli atakosa biashara.
Hii shairi ipo vyema sana. Me nafikiri kila muwamba ngoma huvutia kwake. Tunasubiri nanyi mlete shairi lenu tuone limesimamaje? Me nawakubari sana hawa mashujaa wetu na kama huwakubari omba Uraia wa Somalia, DRC Kongo au Sudan. Utatuambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.