Mwanangu Zamda simuelewi kabisa

Mwanangu Zamda simuelewi kabisa

Habari zenu,

Nimejiunga JF kwa kwa malengo mbalimbali mojawapo likiwa ni kutaka kuuliza wadau na kuomba ushauri kuhusu mtoto Zamda, anamiaka 15 yupo form 3 hapahapa DSM, lakini huyu mwanangu ni malaya sijapata kuona, nimemkataza saaana na kumuonya lakini hakasikii, nikakakbidhi kwa ndugu zake wakanyooshe wapi, leo kamefukuzwa shule kana mimba, nimeshindwa hata cha kufanya wadau.

Ushauri wenu

NIMETUMWA NA JIRANI YANGU ITS NOT ME
Usiwe na wasiwasi sasa katatulia maana kalichokua kakitafuta kamekapata...
 
Msaidieni tu kulea hiyo mimba atakuwa kajifunza.
 
Hapo ndio mwisho wa mapepe...maziwa kugeuka malapa,mvuto Ku "depreciate" na soko kuporomoka....haitaji tena maombi manake vidume wenyewe hatumtaki tena tumamwachia baba mtoto
Mbona Zari Ana watoto 4 na umri umeenda na bado chuchu saa 6 na mvuto bado anao????
 
Kashapata adabu yake mnyime mahitaji yote yasiolazima vocha na mengineyo,mpe kula na kulala,hadi ajifungue atakua kashakoma,
 
Nashauri, mbane akueleze baba wa hiyo mimba ni nani...

Akikataa, mnyime matumizi yote (ila sidhani kama utaweza kuvumilia)

Ukishindwa-: Mpe nauli arudi kijijini kwao na baba yake ili akajifunze huko.
 
Nashauri, mbane akueleze baba wa hiyo mimba ni nani...

Akikataa, mnyime matumizi yote (ila sidhani kama utaweza kuvumilia)

Ukishindwa-: Mpe nauli arudi kijijini kwao na baba yake ili akajifunze huko.
Unadhani watu wote wapo mjini??
 
Habari zenu,

Nimejiunga JF kwa kwa malengo mbalimbali mojawapo likiwa ni kutaka kuuliza wadau na kuomba ushauri kuhusu mtoto Zamda, anamiaka 15 yupo form 3 hapahapa DSM, lakini huyu mwanangu ni malaya sijapata kuona, nimemkataza saaana na kumuonya lakini hakasikii, nikakakbidhi kwa ndugu zake wakanyooshe wapi, leo kamefukuzwa shule kana mimba, nimeshindwa hata cha kufanya wadau.

Ushauri wenu

NIMETUMWA NA JIRANI YANGU ITS NOT ME
Muozeshe
 
uploadfromtaptalk1455026678572.jpg
 
umetumwa na jirani yako..kwann utumwe na jirani kwani yeye mwenyewe hawezi kujisemea mwenyewe.... mi nasubiri jirani aje mwenyewe nimshauri maana wewe utayabadilisha na sie washauri kuonekana waongo
 
Umetumwa na jiran wakat unaitwa mama zamda
 
Yawezekana karithi tabia chafu fanya uchunguzi kabla ya kumlaumu mtoto
 
Zamda Zamda Zamda!!!!! kwa nini humsikii mama yako jamani, ona sasa ndo ushakuwa mama kijacho Zamda ni nani aliyekulogaaaaa??????
 
mwache alee mimba then mtoto, akikuakua mpeleke asome QT kama amefaulu form 2 amalizie mwaka mmoja, akimaliza cha nne mpeleke vyuo type ya DATASTAR TRAINNING COLLEGE akasomee hotel management atapata kazi fasta, ukishindwa nichek, hamna kuhuzunika maisha yenyewe mafupi haya, sie wengne tuliishia form 2 na tumetusua tunasoma sasa hv baada ya mambo kunyooka
Et samahan,unaweza kuntajia vyuo dizain ya datastar ambavyo vimesajiliwa na nacte
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom