Wabunge wengine hawajui kabisa dunia inakokwenda

Wabunge wengine hawajui kabisa dunia inakokwenda

Mkuu Rukia wako yupo salama nilifikisha salamu jana jioni, aisee ile supu ni kiboko
Tehe tehe..mkuu Rukia si wangu. Nashukuru kwa kufikisha salamu.. Ile supu najua ulipiga bakuli mbili kibingwa mkuu. 😀
 
Sawa njoo utolewe bikra hapa
Nikija hapo ulipo wewe kenge mpaka nakufikisha kunakostahili utakuwa umeshamlilia mama yako mzazi Kama mara elfu sabini. So usitake kabisa Nije ulipo wewe mshenzi. Muulize Yericko Nyerere.
 
Nikija hapo ulipo wewe kenge mpaka nakufikisha kunakostahili utakuwa umeshamlilia mama yako mzazi Kama mara elfu sabini. So usitake kabisa Nije ulipo wewe mshenzi. Muulize Yericko Nyerere.
Hahaha kua makini hapa sio Instagram, kumbe we ndo ulimfikisha Yericko Nyerere pale aliko. Hongera sana mshenzi na nusu
 
Ukifanya hesabu ya Kutoa,Kujumlisha,Kuzidisha na Kugawanya,utapata jibu ni namna gani wanasiasa wafanya BIASHARA wanavyoua UCHUMI wetu.Tusitegemee hata siku moja sheria ije ya kupinga mfanya biashara kuwa Mbunge.
 
Mbona hanari yako umeiandika kimbeambea sana? Eleza ni mbunge gani? Na sio kuweka mafumbo hapa
 
Pesa haishindwi kitu, aliporudi kutoka Zimbabwe alikuja na nyaraka kwamba ile meli aliinunua Kenya na alikuwa eti kiishamuuzia kapteni Haule, nahodha aliyekuwa akiiendesha ambaye alizama nayo. Ikizingatiwa ilikuwa nyakati za mzee wa Msoga jalada lilifungiwa polisi hata mahakamani halikufika.


Dah! Ile Ndiyo ilikuwa Tanzania ya wadanganyika
 
Pesa haishindwi kitu, aliporudi kutoka Zimbabwe alikuja na nyaraka kwamba ile meli aliinunua Kenya na alikuwa eti kiishamuuzia kapteni Haule, nahodha aliyekuwa akiiendesha ambaye alizama nayo. Ikizingatiwa ilikuwa nyakati za mzee wa Msoga jalada lilifungiwa polisi hata mahakamani halikufika.
Ni kweli mkuu kuna kajamaa ndo kalimpa hizo mbinu alafu kakavuta 100 milion kesi ikaishia hapokama hadithi ya za watoto wanao sema hadithi yangu imeishia hapo!
 
Huyo kuna kila haja ya kumtumbua majipu haraka sana tena bila ganzi. Hawo ndio wahujumu uchumi. Yawezekana ana ma lory ya mkopo huyo sasa anaona serikali ikiwekeza ktk leli atakosa biashara.
 
Tukisema ccm wote vilaza watu wanatokwa mapovu ila hili chama lina laana hii sio kawaida unaweza ukawa mzuri tuu ukishaingia huko sijui kuna majini gani hebu ona huyu Dr tulia washamroga.mshana Jr saidia hili chama linaangamia
Haha ha unataka mshana jr amshushe busha Dr Tulia? Sijui hilo kama linawezekana,, ngoja aje mwenyewe atujuze mautaalamu
 
Back
Top Bottom