Nguvu ya bikra katika mapenzi

Nguvu ya bikra katika mapenzi

Sikuizi bikra wanatolewa hata kabla awajamaliza shule ya msingi Kupata msichana mwenye bikra akiwa mtu mzima ni jambo la furaha na anaonyesha kua anajitambua japo sio kila unaemkuta bikra ananitambua wengne wanakupa tu chanc ya kuwawekea njia wanaume wenzako ili wapite vizur
 
Sikuizi bikra wanatolewa hata kabla awajamaliza shule ya msingi Kupata msichana mwenye bikra akiwa mtu mzima ni jambo la furaha na anaonyesha kua anajitambua japo sio kila unaemkuta bikra ananitambua we shukuru kama yupo poa
 
Haha,waswahili bana ndo maana tunabaki kuwa maskini,seriously mnatumia muda wenu kumdiscourage mwana kwa kumpata bikira,saaa kama wew mabikira huwataki kwanin usibaki ivo ivo kimya kimya tu mpaka mmuandame mwenzenu jamani duuh,haha,bikira wanaeza wakawa sio wazuri kama mnavodai nyie lakin kuna sababu wakawa bora kuliko waliotumika jaman,huo ndo ukweli,na pia kuna sababu mswati anataka mabikira tu na hata kingdoms za zamani kule rome na Scotland pia hata mahali pengi duniani walikua wanaheshimu sana haya mambo,jamani mwenzenu akipiga hatua nzuri mpongezeni sio kuwaunga mkono hao malaya wanao gawagawa k zao afu mnawateyea ati ndo wazuri,acheni hayo mambo banaaa...!
Bikra ina heshima yake kwakweli hata kama atatoa sehemu nyingine wa kwanza wa kwanza tu
 
Naona umezungumzia tuu faida za bikra, sasa ngoja nikupe na hasara yake.
HASARA
Pale atakapoonja dyudyu ya nje na kuona ni tamu alafu ni kubwa kuliko yako ndo utajua kuku pia anakojoa.

NB: ni bora uoe aliyezoea kuona za aina tofaut tofaut ili akikupenda na kuridhika na wewe kwa kila kitu na wewe mnaishi daima kuliko huyo aliyeona yako tuu na bado hajaona dyudyu yangu😀😀
 
Naona umezungumzia tuu faida za mimba, sasa ngoja nikupe na hasara yake.
HASARA
Pale atakapoonja dyudyu ya nje na kuona ni tamu alafu ni kubwa kuliko yako ndo utajua kuku pia anakojoa.

NB: ni bora uoe aliyezoea kuona za aina tofaut tofaut ili akikupenda na kuridhika na wewe kwa kila kitu na wewe mnaishi daima kuliko huyo aliyeona yako tuu na bado hajaona dyudyu yangu😀😀
aliyezoea dyu dyu kutulia sehmu moja ngumu anajua wapi anakunwa afu ndo aje atulie kwa kibamia chako,
Kumbuka mapenzi hayafi
Atatulia kwa pesa lkn sio
Kwa dyu dyu wengi wako ivo
 
Ukitaka ona msichana mkali ongelea kuhusu bikra......
Nyinyi mmezitolea vichochoroni hadi sasa mmejaza kenta, kuweni wapole.......
teh wamezitolea vichochoroni kwa kudanganywa na chipsi kuku! tukiwaambia ukweli wanaona tunawakejeli
 
Haha,waswahili bana ndo maana tunabaki kuwa maskini,seriously mnatumia muda wenu kumdiscourage mwana kwa kumpata bikira,saaa kama wew mabikira huwataki kwanin usibaki ivo ivo kimya kimya tu mpaka mmuandame mwenzenu jamani duuh,haha,bikira wanaeza wakawa sio wazuri kama mnavodai nyie lakin kuna sababu wakawa bora kuliko waliotumika jaman,huo ndo ukweli,na pia kuna sababu mswati anataka mabikira tu na hata kingdoms za zamani kule rome na Scotland pia hata mahali pengi duniani walikua wanaheshimu sana haya mambo,jamani mwenzenu akipiga hatua nzuri mpongezeni sio kuwaunga mkono hao malaya wanao gawagawa k zao afu mnawateyea ati ndo wazuri,acheni hayo mambo banaaa...!

Lakini nyie wanaume si ndo mnawatoa hizo bikira? au huwa wanajitoa wenyew? sasa kwanin msiwaoe pindi mnapokuta bikira badala yake mnawaacha na kuanza kuwaita majina ya ajabu eti malaya wanaogawagawa. kuna mmoja humu alisema yeye kashawatoa wasichana watatu bikra ila hajaona wa kuoa. kama kweli bikra ni muhimu si angeoa angalau mmoja wa hao watatu. na wewe leta uzi kilichokufanya ukae na huyo wala usisingizie bikra sema umempenda tu coz wanawake kibao wameolewa na hizo bikra na wameachika. Waheshimu madada zetu jamani.
 
Umeibiwa wewe. Siku hizi bikra zinatoka zenyewe kwa sababu mbali mbali. Labda ni chini ya 18 years old
 
Back
Top Bottom