Ningekuwa mwanaume...."wangenikoma"

Ningekuwa mwanaume...."wangenikoma"

Mkuu umenikumbusha wakati huo nilikuwa na demu wangu fulani hiv siku moja tulivyomaliza kugegedana akaniambia ningekuwa mwanaume ningewalaaa mademu. .. Nikamuuliza kwa hiyo na mimi niwe nawalaa.. Akasema hapana. Sasa cjui alikuwa ana maana ghani. Nilimtafakari nikakosa jibuu
 
Anayaka kufanyiw ila tu anaonge ki-indirect way
 
Ni kauli ya mdada mmoja tunafanya nae kazi hapa ofisini ni mara ya tatu sasa namsikia akisema hivo akiwa na maana kwamba angezaliwa mwanaume hawa wanawake wangemkoma angegegeda yoyote yule anaemtaka, we umewahi kukutana na mwanamke mwenye fikra kama hizi?

Najiuliza huwa wanaona nini kwa wenzao mpaka wafikirie hivi?

NB; Nipo kwene harakati za kumtafuna japo ni mke wa mtu ili kuifanyia kazi kauli yake.
Nilishawahi kukaa na mtu wa kauli hiyo, nadhani wana imagine mambo tu.
 
Ndoto tu hizo. Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.

Ana matatizo huyo sio bure
 
Mpumbavu huyo,sijawahi kutamani kuwa mwanaume hata siku 1.
Najivunia kuwa mwanamke,na ninamshukuru Mungu kwa kuniumba mwanamke.
Ninavyopenda kudekezwa hivi ningekuwa mwanaume ingekuwaje?
Bado majukumu kibaooo.....
 
kauli ya mwingine afu we ndo uifanyie kazi, ye ana asili ya uasherati we fata misingi yako ya maadili uliyolelewa achana na mpango na kuishi maisha yasiyo yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom