Sijui alikuwa zenj.welcome back...tulikumiss kweli kweli
The Boss unataka kusema ukimtamani house girl wako na yeye akakutamani ni lazima ulale naye.... jibu unalo?
Kwa miaka ya leo ni ngumu sana aise, tukutane wote kila mtu ana moto na mwenzie halafu tusifanye sijui.
Hahahahahaha itakula kwako.Ikinitokea nakemea![]()
Wacha ile tuHahahahahaha itakula kwako.
Shetani akingilia kati wakati mnaongea mmhm akaikoleza hiyo tension ubinadamu utauzuiaje.Suluhisho kila ntu abaki na hisia zake japo mmoja atakuwa anamzoea zoea mwenzake hila ni ngumu kibinadamu.Mnaongea with an open mind. Kila mmoja lazima afahamu mipaka yake ya kibinaadam.
Mamndenyi umenikumbusha mbali...The Boss unataka kusema ukimtamani house girl wako na yeye akakutamani ni lazima ulale naye.... jibu unalo?
Kwa miaka ya leo ni ngumu sana aise, tukutane wote kila mtu ana moto na mwenzie halafu tusifanye sijui.
Mkishaambiana hisia zenu si ndio mtashindwa kuziepuka tenakumkwepa mtu ambaye mnahisia za mapenzi haisaidii kwasababu iko siku nature itawaweka kwenye mazingira ambayo mtakuwa wenyewe na hapo mtabambana tuu.
Uwazi na ukweli ndo mpango mzima, kama intimacy mwenzio ni muelewa basi unamwambia kuwa lets not accept any privacy alone in any way and at any cost pia kama si muelewa basi ni wewe kuwa sirias tuu na humuangalii usoni mwisho salamu hata mkono si lazima kupeana, ila utaweza kufanya hivi iwapo KWELI unataka na UNANIA ya KUISHINDA hiyo sexual tension, ila kama ikiwa sitaki nataka hauchukui round day one utampiga kibao cha ----, day two utamtekenya mkiwa mnapishana kwenye korido, day three mtakiss............ and next you know what will happen
The pen is urs whether to write or to draw
mimi naweza kumtamani mtu .namuwaza naimagine tupo pamoja yaani navusha navusha navusha ila nikimuona live...najuta nakuwa hata simpendi tena...
Usiombe kuwa na hisia na shemeji yako afu Kaka yake hana tym na wewe kabisaahuwezi kuji control?
Unamkwepa vipi shemeji mnaishi nyumba moja??huku Kaka yake ni mtu anaekujali kwa msimuHapo kwenye kuizungumza ndio mnaichochea kabisa na mnakuweka mmejifunua kitakochofuata ni historia.Suluhisho ni kukwepana tu hakuna namna hila ni ngumu sometimes unashangaa mmoja anampigia Simu au kumtext mwenzake nakumwambia ukweli apo ndio kuduwaa na kushangaa.Mfano binti kumchukulia mtu kama kaka au ndugu in a long run jamaa anajifunua.Kikubwa ni kuheshimu hisia zake na kumpotezea.
Aaaamen!One for the lord.
ni kujiendekeza tu, human being ana reasoning ndo maana hujisaidii vichakani au barabarani it is possible to avoid. Ukiamua kutumia Cerebrum vizur ni jambo rahis kabsaaWataalamu huwa wanashauri njia bora
ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili
ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi
kuepuka kuonana na mtu huyo,
na tayari kuna sexual tensions kati yenu zimejitokeza
suppose huyo mtu ni boss wako ofisini
au ni shemeji yako mnaishi nyumba moja
au office mate au classmate au mwalimu
na huwezi go on kutekeleza kiu yako ,for some reason huyu hutaweza
hata kama utataka kutii kiu yako
what the best way ya kuishinda sexual tension for two grown ups?
sexual tension ni kumtamani mtu na yule unaemtamani anajua
na yeye probably anakutamani ingawa kikawaida hampaswi au hamuwezi kutekeleza kiu zenu