Recent content by purtpurt

  1. purtpurt

    Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

    Kwani Mto Kagera unaoingi Ziwa Nyanza unaanzia wapi? Sio Rwanda. Inawezekana mtu kaitaja Rwanda hapa, na siaona maana sijasoma kila kitu, lakini kwa mantiki ya hija hapa naona inawezekana tunapigia debe Rwanda?
  2. purtpurt

    Kenya ilikosewa, maendeleo yake yana limitations!

    Huu mjadala poa lakini nsona kuna mambo hayajakaa sawa!!! Umesema kwa ujasiri ... "Hakuna nchi iliyowahi kupenya hapo ..." Umewahi kusoma historia ya Uswiss au Ubelgiji? Hebu isingalie alafu tuendelee Ninaona kama kuna jambo fulani hspa ambalo linazidi UKenya au UTz. Take it to Reginal...
  3. purtpurt

    Madhara ya kushirikiana na Israeli!

    Batbarosa. Ngoja nikuulize!! Hivi maana ya *Barbarosa* ni nini? Jina hilo lilikuwa na mahusiano gani na unyama waliofanyiwa Warusi na dikteta mmoja wa Ulaya? Kwa nini umejiita jina hilo ????? [emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]Napita tuu lakini ...[emoji1321][emoji1321][emoji1321]
  4. purtpurt

    Nimeanguka kwenye penzi la mume wa mtu

    Muogopeni Mungu hana likizo!!
  5. purtpurt

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    Unataka kwenda KUTAMBIKA?
  6. purtpurt

    Naombeni msaada wadau huu ni ugonjwa wa kuku...?.

    Poleni sana sana. Swali Analouliza ni Muhimu sana. "Ugonjwa huu unasababishwa na nini". Na pia nadhani ni Muhimu sana kujua - inakuwaje unafika katika banda (transmission) ni muhimu kujua hilo ili kupata mbinu za kuzuia usitokee tena.
  7. purtpurt

    Vifurushi vya Airtel OMG wamepunguza size za bundle

    Hivi nani anajua ktk mtandao ni wapi bei hizi huwekwa ili tulinganishe na kuamua ni mtandao gani wa kutumia. Nani mtaalam atusaidie hapa? Ninachojua mimi ni kuwa sipati mtandao kwa kiasi/bei ya awali. Hivi nchi nyingine hali ikoje? Mbona mkonga wa Taifa umefika hapa kwa nini bei bado ni ya juu...
  8. purtpurt

    Picha: Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

    Mpe hongera sana sana mdada na mama huyu. Anaonesha mfano. Jamani huyu mama ni shujaa. Wengine nao wahamsishwe wajitokeze! Elimu haina mwisho na huu ni mfano hai!!! Huyu ni mama wa shoka
  9. purtpurt

    Halmashauri ya Kinondoni yapata tuzo ya Halmashauri bora Afrika

    Hakuna mguu mfupi usiokanyaga chini. Msishangae! Kinondoni iekanyaga chini. Ilala na Temeke wanaelea!!
  10. purtpurt

    Halmashauri ya Kinondoni yapata tuzo ya Halmashauri bora Afrika

    Hiyo hapo juu ni ndani ya kinondoni tena Msasani sasa hivi!
Back
Top Bottom