Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Watu wa mikoa mingine, wanajua Watu wote wanao tokea kanda ya huko wanajulikana ni wachaga maana tabia zao zote zinafanana kasoro wamasai.full stop
 
Kwani wakwaya na wakerewe ni wajita???

Sababu ni kufanana kwa lugha tu???

Kuna vigezo mbalimbali vya kuelezea asili za makundi pamoja na makabila mbalimbali katika jamii. Kigezo cha kwanza ambacho hutumika ni mfanano wa maumbile (physical feature) na kigezo kingine ni uhusiano wa lugha (Linguistics classification) hivyo basi kuwepo kwa mfanano wa lugha huashiria kundi hilo kuwa jamii moja ambayo intengana kwa sababu mbalimbali.
 
Wameru wametokea uchagan mwanzo walikua wachaga wote kuna baadh ya koo tunashare na wachaga
Mkuu hakuna kabila la wachagga mrombo ni tofauti na mmachame
Hawaelewani hata kidogo
Hvyo hvyo kwa makabila mengine kama wamarangu wakilema wakibosho
 
mhh tuwangoje warudi x-mass ndo tutapata jibu sahihi maana ukiangalia wameru wanawake bomba sana na wachaga ni samsung f TV
 
mhh tuwangoje warudi x-mass ndo tutapata jibu sahihi maana ukiangalia wameru wanawake bomba sana na wachaga ni samsung f TV

Erooo konshiwooo!!!! Duu mademu wa kichaga flat tv co wakimeru hitachi????
Nenda sura kaoe huko toto bomba......
 
Ndio bosi kama kina urio wapo wachaga na wameru

Kaaya, masawe, urio, kitomari n.k wapo wachaga na wameru. Japo ukisoma historia ya wameru utaona kua asili yao walitokea maeneo ya upareni wakiwa pamoja na wamachame na waarusha. Wameru walifikia upande wa mashariki ya mlima meru penye ardhi nzuri ya kilimo. Baadae waarusha nao walifika maeneo hayo ikatokea scramble. Wameru waliwafukuza waarusha kwa mawe kutokea juu ya mlima meru. Hatimae waarusha wakaenda kuishi magharibi ya mlima meru wakaanza kufanya biashara na ufugagi kidogo ambapo walipokelewa na wamasai. Hapo ndo mji wa arusha ukakua.
Kwa ujumla waarusha waliadapt lugha ya kamasai wakachanganya na yao. Ila mila na desturi zao na za kimeru zinafanana kwa kiasi kikubwa. Mfano jando na mambo mengine ya kimila.
Unaweza kusoma zaidi kwenye hii article.
waMeru People http://www.ntz.info/gen/n01169.html
 
Hujanijibu swali langu kwa ufasaha.Nilitaka kujua kama wameru wa tz na wa huku Kenya ni wale wale ni kabila moja lilipoteana au vipi?Wameru wa Kenya wanaishi kando ya mlima Kenya na ni wakulima na kwao vyakula vya aina nyingi viko kwa wingi sana pia wanapanda majani chai na kahawa.Kitega uchumi chao kuu ni mmea wa mirungi.Wanapata hela sana kwa mirungi na utapata gari zao za mirungi zikielekea uwanja wa ndege JKIA kwa kasi ya ajabu.Hiyo ndo sifa yao mambo yote yao wanafanya kwa kukurupuka na pia wana hasira kali mno.Ukimtania anakukata kwa panga,wanakatana kwao saana na mapanga na visu ambavyo wengi wao hawakosi kutembea navyo.Hadi mwanaume asipoonekana ana alama au hata amekatwa pua au sikio kwao huyo si mwanaume!

The Meru (Wameru) are a Tanzanian ethnic and linguistic group native to the slopes of Mount Meru in Arusha Region. The Meru people share the same name with the Meru people of Kenya, but are completely different ethnic groups each with their own unique history and identity. The Wameru people are said to have arrived to the slopes of the great mountain around 300 years ago coming from the Usambara Mountains in Tanga Region. Upon arriving at the southeastern slopes of Mount Meru they were met by the hunter gather group called the Koningo whom they absorbed into Meru society. The wameru are known for their intensive agricultural practises.[SUP][1][/SUP]
 
Gen. kasavumbu good to know the Meru in tz are a distinct group from the Kenyan Meru tribe.I could read in the link you put up but its xmass eve,so you know...hope you dont mind but I wanted to know which type of bantu they are classified as,if its highland bantus they might be more linked together than you think.Remember the Meru of Kenya together with the Embu and Kikuyu tribes are intertwined speaking diffrent dialects of the same language and sharing many traditions and customs and can undestand each others 'languages'.Also the Kikuyu are linked very closely with the Chagga and as the topic of the thread suggests the Meru are linked to the Chagga people,seems to be a intertwined web of similar roots and relations.
 
Duh msing'si nyie ndo wagomvi balaa japo kuna kastory kuwa wameru wa sing'si ni machotara..mchanganyiko nA makabila mbalimbali yalokuja kufanya kazi mashambani kwa wazungu.
Jambo lingine wanaoana ndg hasa uko wa Kyungay na manang'i
 
Wakuu nimekaa na wameru kimeru kinafanana mno na kimachame kwa asilimia 98% nauliza je wameru ni wachaga?majibu please

Wameru, wamachame na wasanya ...sio wachaga. ..Ila lugha zao zinaingiliana kama wahehe na wabena! Sifa za makabila hayo matatu ni kuwa na wanawake wenye roho mbaya kama mashetani!
 
Back
Top Bottom