Picha: Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

Picha: Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

Najiuliza mama mtoto miaka 25 mtoto wa kwanza miaka 9, kwa hiyo akiwa na miaka 16 ndiyo kajifungua, mimba alishika akiwa na miaka 15, kaolewa akiwa na miaka mingapi? Aliye oa sheria ya kubaka haimhusu hapa?
nafikiri kwa kipindi hicho alikuwa sahihi ila kwa sasa ndio anafanya kosa kutembea na mwanafunzi
 
Ila walimu nao nyo.ko yani wanawalamba stick mama na watoto!! Bado baba tu, nae akijishau kurudi shule atakula Stick mbele ya wife.
 
Mpe hongera sana sana mdada na mama huyu. Anaonesha mfano. Jamani huyu mama ni shujaa. Wengine nao wahamsishwe wajitokeze! Elimu haina mwisho na huu ni mfano hai!!!

Huyu ni mama wa shoka
 
Haya ningependa kusikia hawa wanasemaje kuhusu msaada

TAMWA, TAULA , Ma-miss Tanzania , Chama cha wabunge wanawake, UWT, BAWACHA, BAWA-NCCR n.k.

Na kisha kuna mdau muhimu sana jamvini nginependa kusikia kauli yake Mohamed Said Salum mwekapopo Semtungo


Cc AshaDii Mag3 faizafoxy Bongolander Mzee Mwanakijiji Mkandara Alinda Pasco
Mkuu hata sikuelewi kabisa hoja yako maana huyu mama hakupata Elimu kwa sababu ambazo zinazikumba familia nyingi za Kitanzania. Mwaka 1990 shule za msingi zilikuwa za kulipia na sii ajabu hilo lilikuwa tatizo maana hatukusikia kutoka kwa wazazi wake. Sisi wengine sote mama zetu wameolewa wakiwa wadogo sana kwa sababu elimu ilikuwa hadi darasa la nane walobahatika kwenda secondary hawajai hata mkononi.

Kwa hiyo hili ni swala la Kimfumo ambalo linawaathiri watu wengi sana nchini na sio la dini wala kabila kwa sababu ukitazama hesabu ya vijana machinga barabani, ama watoto ombaomba ni swala la kusikitisha kabisa ambalo halitakiwa hata kufanyiwa dhihaka. Kwanza niisifie shule hiyo kuwawezesha kinamama 20 kuweza pata elimu japo wajue kusoma na kuandika.
 
Mkuu hata sikuelewi kabisa hoja yako maana huyu mama hakupata Elimu kwa sababu ambazo zinazikumba familia nyingi za Kitanzania. Mwaka 1990 shule za msingi zilikuwa za kulipia na sii ajabu hilo lilikuwa tatizo maana hatukusikia kutoka kwa wazazi wake. Sisi wengine sote mama zetu wameolewa wakiwa wadogo sana kwa sababu elimu ilikuwa hadi darasa la nane walobahatika kwenda secondary hawajai hata mkononi.

Kwa hiyo hili ni swala la Kimfumo ambalo linawaathiri watu wengi sana nchini na sio la dini wala kabila kwa sababu ukitazama hesabu ya vijana machinga barabani, ama watoto ombaomba ni swala la kusikitisha kabisa ambalo halitakiwa hata kufanyiwa dhihaka. Kwanza niisifie shule hiyo kuwawezesha kinamama 20 kuweza pata elimu japo wajue kusoma na kuandika.
Mkuu @Mkandara , hata sijui kwanini umehamaki.

Kwanza, ninapenda sana kumpongeza huyo mama kwasababu zifuatazo

1 Ametambua mapungufu yaliyotokea iwe kama yeye au mazingira yaliyomzunguka

2 Ametambua tatizo na wapi suluhu inapatikana. Ameongozwa na weledi

3 Mama huyo amekuwa mkweli wa nafsi yake na kwa wengine kwakusema ukweli

4 Anakuwa role model ya watoto wake yeye mwenyewe bilakumtegemea ma miss Tz

5 Anakuwa role model kwa jamii yetu yote kwa kujitoa,kufumbua macho wanaojitia upofu, wanaopotosha jamii na wengine waliojaa au kujazwa upuuzi

Pili, nimetaja makundi ya akina mama kwa sababu nilidhan itayari wameshamfikia kumkomboa mwanamke mwenzao.

Hatuwezi kuwa na umoja wa wabunge wanawake wenye kazi ya kutafuta mgombea mwanamke kwa Urais.

Hatuwezikuwa na wabunge wa kuteuliwa kwasababu uanawake wao wasiojua wanawake wanaishi wapi.

Hatuwezi kuwa na utitiri wa NGO za kutetea wanawake ambao kwahakika nikundi la wasomi na si kama mama huyu.

Hatuwezi kuwa na ma miss wenye kazi ya kugawa viroba vya Michele kwa mayatima kila sikuu huku wakishindwa kujua jamii yao ipo wapi.

Hatuwezi kuwa na kelele za uwiano sawa wa nafasi kati ya jinsia ikiwa wanawake hao hao hawajui wenzao wapo wapi wanaishije.


Nimemtaja Mohamed Said ilia one tatizo la jamii yetu kwa ukubwa wake.
Kuibuka na namba anazoita takwimu bila kujua tatizo la nchi na jamii kwa ujumla ni jambo la hatari, kupotosha na kusikitisha.

Tunamuonyesha mfano ili aachane na kukusanya namba mbili au tatu akaziita takwimu na kupotosha jamii.


Kwa upande wako, sijui kwanini umehamaki. Nashukuru unafahamu tatizo lililopo ni kama la omba omba.

Kwamba, kuna tatizo katika mfumo mzima, si tatizo la ‘mfumo' unless useme ndivyo ulivyomaanisha.


Kama wadau wengine nimekualika tu ili kupata mtazamo wako,huna sababu ya kuhamaki
 
Mkuu @Mkandara , hata sijui kwanini umehamaki.

Kwanza, ninapenda sana kumpongeza huyo mama kwasababu zifuatazo

1 Ametambua mapungufu yaliyotokea iwe kama yeye au mazingira yaliyomzunguka

2 Ametambua tatizo na wapi suluhu inapatikana. Ameongozwa na weledi

3 Mama huyo amekuwa mkweli wa nafsi yake na kwa wengine kwakusema ukweli

4 Anakuwa role model ya watoto wake yeye mwenyewe bilakumtegemea ma miss Tz

5 Anakuwa role model kwa jamii yetu yote kwa kujitoa,kufumbua macho wanaojitia upofu, wanaopotosha jamii na wengine waliojaa au kujazwa upuuzi

Pili, nimetaja makundi ya akina mama kwa sababu nilidhan itayari wameshamfikia kumkomboa mwanamke mwenzao.

Hatuwezi kuwa na umoja wa wabunge wanawake wenye kazi ya kutafuta mgombea mwanamke kwa Urais.

Hatuwezikuwa na wabunge wa kuteuliwa kwasababu uanawake wao wasiojua wanawake wanaishi wapi.

Hatuwezi kuwa na utitiri wa NGO za kutetea wanawake ambao kwahakika nikundi la wasomi na si kama mama huyu.

Hatuwezi kuwa na ma miss wenye kazi ya kugawa viroba vya Michele kwa mayatima kila sikuu huku wakishindwa kujua jamii yao ipo wapi.

Hatuwezi kuwa na kelele za uwiano sawa wa nafasi kati ya jinsia ikiwa wanawake hao hao hawajui wenzao wapo wapi wanaishije.


Nimemtaja Mohamed Said ilia one tatizo la jamii yetu kwa ukubwa wake.
Kuibuka na namba anazoita takwimu bila kujua tatizo la nchi na jamii kwa ujumla ni jambo la hatari, kupotosha na kusikitisha.

Tunamuonyesha mfano ili aachane na kukusanya namba mbili au tatu akaziita takwimu na kupotosha jamii.


Kwa upande wako, sijui kwanini umehamaki. Nashukuru unafahamu tatizo lililopo ni kama la omba omba.

Kwamba, kuna tatizo katika mfumo mzima, si tatizo la ‘mfumo' unless useme ndivyo ulivyomaanisha.


Kama wadau wengine nimekualika tu ili kupata mtazamo wako,huna sababu ya kuhamaki

Mkuu,
Kweli umewasilisha vizuri sana mchango wako nakuunga mkono kabisa!
Mfumo wetu wa elimu bado sana kuwakomboa watu wa dizaini kama ya huyu mama japokuwa kikwazo kikubwa ni ada na si vinginevyo, labda itokee kuna mengine ambayo ni ya kawaida katika jamii.
 
Kwajinsi Nilivyotafakari Kwakina Na Kujitathimini Nimeona Kama Education Has No End!
 
Safi sana , akaze buti atafanikiwa tu. Ila isije ikatokea yule bwanake akampa ujauzito maana huyo sasa ni mwanafunzi eti. Halafu sijaelewa , wakati wa kulala usiku inakuwaje? maana huyu mama sasa ni mwanafunzi , mume wake inakuwaje?
 
Back
Top Bottom