Israel ni nchi muhimu Sana Katika maendeleo hata marekani wanawategemea Sana Israel Katika maendeleo yao ni nchi yenye agano na Mungu atakayeibariki Israel atabarikiwa na atakayeilaani atalaaniwa na Ndiyo maana tz licha ya rasirimali nyingibado tuna umasikini mkubwa.Duuh...
ndugu hata tamaa ushakata kabisa et "hatuna namna"
uhusiano na israeli ni must kivipi..?
Israel ni nchi muhimu Sana Katika maendeleo hata marekani wanawategemea Sana Israel Katika maendeleo yao ni nchi yenye agano na Mungu atakayeibariki Israel atabarikiwa na atakayeilaani atalaaniwa na Ndiyo maana tz licha ya rasirimali nyingibado tuna umasikini mkubwa.
Unamaanisha hata msaada wa wataalamu kutoka Rwanda hautakuja bure, siyo?Najua kuna baadhi ya watu wanashangilia sana ujio wa Kiongozi mkubwa wa Israeli kwenye nchi za AM na hata nchi yetu pia iliwakilishwa ingawaje Raisi wetu hakwenda namuunga mkono kwa hilo!
Binafsi naona kwamba siyo jambo la busara kushirikiana na nchi hiyo ya Israeli, na sababu ni kwamba nchi hiyo ina maadui wengi sana na niijuavyo Israeli, Kiongozi wao hakuja hapa kwa sababu anapenda kusaidia nchi zetu kama ambavyo wengi wanaamini, kwani kama ingekuwa ni hivyo kwa nini hakuja miaka 5 iliyopita? kwa nini leo hii? Hivyo basi ingawaje hilo linaweza kuwa kweli kwa upande mmoja lkn pia tusisahau kwamba Israeli wanategemea msaada wetu kwao pindi watuhitajipo, sasa ni msaada gani tutawapa Israeli?
Ninachopenda kuonya mimi ni kwamba sasa hivi Dunia imechafuka na inaendelea kuchafuka siku hadi siku, kitakachokuja kutokea ni kwamba maadui wa Israeli watakuwa maadui wetu, ghafla na sisi tutaingia kwenye hayo magomvi ya akina Irani, Uturuki na sijui Urusi na Isis, Je tunaweza kukabili hali hiyo?
Kulikuwa na sababu kwa nini Mlm.Nyerere alifwata Siasa za ,,kutofungamana na upande wowote ule", alielewa hili, kwani Mlm.Nyerere alisomea Historia tena huko huko Ulaya hivyo uelewa wake wa Siasa za kidunia ulikuwa mkubwa sana na hakuwa mjinga alivyoamua kujitenga nchi na Siasa za Mataifa makubwa au unaweza kusema kutokuchagua upande!
Hivyo tuchekelee kushirikiana na Israeli lkn siku wakituhitaji tusianze kusema hayatuhusu, hapo ndipo tutakapojua MOSAD ni nani, na je tuko tayari kuwafanya maadui wa Israeli maadui wetu?
Tukumbuke kwamba hakuna msaada unaokuja bure, hata ukisikia USA wametoa msaada TZ basi ujue ni lazima kwa mfano computer ziwe za Dell na siyo Toshiba, ukisikia Ujapani wametoa fedha za br. ni lazima Kampuni ya Japani ndiyo ijenge vile vile Uchina, hivyo kama tunachekelea kupata misaada ya Israeli pia tukubali kuwa nao watakapo tuhitaji, hayo mambo ya akina Boko Haram, Al shabab sijui Koni huko Uganda msifikiri yapo tu bila ya sababu ...
Binafsi nisingependa TZ yetu ijiingize kwenye hayo maugomvi, kwani hatuwezi kuhimili kuwa na maadui!
Ila Israel wakali Sana wa Masuala ya IT.Najua kuna baadhi ya watu wanashangilia sana ujio wa Kiongozi mkubwa wa Israeli kwenye nchi za AM na hata nchi yetu pia iliwakilishwa ingawaje Raisi wetu hakwenda namuunga mkono kwa hilo!
Binafsi naona kwamba siyo jambo la busara kushirikiana na nchi hiyo ya Israeli, na sababu ni kwamba nchi hiyo ina maadui wengi sana na niijuavyo Israeli, Kiongozi wao hakuja hapa kwa sababu anapenda kusaidia nchi zetu kama ambavyo wengi wanaamini, kwani kama ingekuwa ni hivyo kwa nini hakuja miaka 5 iliyopita? kwa nini leo hii? Hivyo basi ingawaje hilo linaweza kuwa kweli kwa upande mmoja lkn pia tusisahau kwamba Israeli wanategemea msaada wetu kwao pindi watuhitajipo, sasa ni msaada gani tutawapa Israeli?
Ninachopenda kuonya mimi ni kwamba sasa hivi Dunia imechafuka na inaendelea kuchafuka siku hadi siku, kitakachokuja kutokea ni kwamba maadui wa Israeli watakuwa maadui wetu, ghafla na sisi tutaingia kwenye hayo magomvi ya akina Irani, Uturuki na sijui Urusi na Isis, Je tunaweza kukabili hali hiyo?
Kulikuwa na sababu kwa nini Mlm.Nyerere alifwata Siasa za ,,kutofungamana na upande wowote ule", alielewa hili, kwani Mlm.Nyerere alisomea Historia tena huko huko Ulaya hivyo uelewa wake wa Siasa za kidunia ulikuwa mkubwa sana na hakuwa mjinga alivyoamua kujitenga nchi na Siasa za Mataifa makubwa au unaweza kusema kutokuchagua upande!
Hivyo tuchekelee kushirikiana na Israeli lkn siku wakituhitaji tusianze kusema hayatuhusu, hapo ndipo tutakapojua MOSAD ni nani, na je tuko tayari kuwafanya maadui wa Israeli maadui wetu?
Tukumbuke kwamba hakuna msaada unaokuja bure, hata ukisikia USA wametoa msaada TZ basi ujue ni lazima kwa mfano computer ziwe za Dell na siyo Toshiba, ukisikia Ujapani wametoa fedha za br. ni lazima Kampuni ya Japani ndiyo ijenge vile vile Uchina, hivyo kama tunachekelea kupata misaada ya Israeli pia tukubali kuwa nao watakapo tuhitaji, hayo mambo ya akina Boko Haram, Al shabab sijui Koni huko Uganda msifikiri yapo tu bila ya sababu ...
Binafsi nisingependa TZ yetu ijiingize kwenye hayo maugomvi, kwani hatuwezi kuhimili kuwa na maadui!
ulaya(baba mzazi wa israel),imeanza kuitupa mkono israel,USA chini ya obama haikuwa usa ileile,israel ililalamika antisemitism imerud ulaya juzi hapa,icelanda wamesusia bidhaa za israel,israel inabid achukue muelekeo mwingneSababu unazotoa sikubaliani nazo kwanza ili upate mafanikio unahitaji marafiki lakini kupata mafanikio zaidi unahitaji maadui
umepimaje!..wakati hizbullah waliinglia mifumo yao ya kibenkiIla Israel wakali Sana wa Masuala ya IT.
upo kinyume na ukweli,bila mkono wa marekani hakuna israel,anzia kwenye veto tu UN,wengi wa wanaoitwa waisrael ni wazungu wa poland na mataifa mengne ya ulayaIsrael ni nchi muhimu Sana Katika maendeleo hata marekani wanawategemea Sana Israel Katika maendeleo yao ni nchi yenye agano na Mungu atakayeibariki Israel atabarikiwa na atakayeilaani atalaaniwa na Ndiyo maana tz licha ya rasirimali nyingibado tuna umasikini mkubwa.
Kuzidiana kupo kila sehemu Hata wewe kuna mambo mengine umezidiwa ki uwezo au utendaji ndivyo ilivyo[emoji113]umepimaje!..wakati hizbullah waliinglia mifumo yao ya kibenki
Mbona tz tuna urafiki napalestina nahujatoa mapovu
Haujasema kweli katika suala la Israel na Palestina. Si kwamba Tanzania hatukufungamana na upande wowote, bali tulikuwa tunaiunga mkono PLO ya Palestina na kuilaani Israel. Nakumbuka mwaka 1992 nikiwa sekondari 'nilitembezwa' Matembezi ya Mshikamano kuiunga mkono PLO. kwa hiyo si kwamba hatukufungamana na upande wowote, so please re-check your facts.Kulikuwa na sababu kwa nini Mlm.Nyerere alifwata Siasa za ,,kutofungamana na upande wowote ule", alielewa hili, kwani Mlm.Nyerere alisomea Historia tena huko huko Ulaya hivyo uelewa wake wa Siasa za kidunia ulikuwa mkubwa sana na hakuwa mjinga alivyoamua kujitenga nchi na Siasa za Mataifa makubwa au unaweza kusema kutokuchagua upande!
SIASA za Dunia zimebadilika.Unahitaji kuwa na marafiki wengi wa ushirikiano kwa maendeleo.