Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wemeru ni Wachaga masalia, maana ni washamba kweli kweli na wenye roho mbaya sana kuliko.
Ila wana akili ya kimasikini sana kuliko kawaida wao ni naree naree kila wakati, hawawazi kichaga kabisa ndiyo maana wachaga wakawatimua.
 
Yote kwa yote hilo kabila ni shida:what: ni watata balaa, yaani makabila yote yana watani lakini mmeru hana:what:
 
Hujanijibu swali langu kwa ufasaha.Nilitaka kujua kama wameru wa tz na wa huku Kenya ni wale wale ni kabila moja lilipoteana au vipi?Wameru wa Kenya wanaishi kando ya mlima Kenya na ni wakulima na kwao vyakula vya aina nyingi viko kwa wingi sana pia wanapanda majani chai na kahawa.Kitega uchumi chao kuu ni mmea wa mirungi.Wanapata hela sana kwa mirungi na utapata gari zao za mirungi zikielekea uwanja wa ndege JKIA kwa kasi ya ajabu.Hiyo ndo sifa yao mambo yote yao wanafanya kwa kukurupuka na pia wana hasira kali mno.Ukimtania anakukata kwa panga,wanakatana kwao saana na mapanga na visu ambavyo wengi wao hawakosi kutembea navyo.Hadi mwanaume asipoonekana ana alama au hata amekatwa pua au sikio kwao huyo si mwanaume!

Ni wale wale maana hata wa huku akili zao zimechanganyikiwa kama hao maana vitu vingi wanakurupuka alafu wana hasira zisizo na msingi.
 
Hahaha wew sio mtafiti...watani wa wameru ni wapare na warangi, ila wengi wao hawajui/ hawapendi utani kivile.
Ni kweli wameru wana udhaifu wao but endapo mtaheshimiana nao ni watu wa maana wanajua kushikamana, wanapenda maendeleo sana
 
Wameru ni wameru na wachagga ni wachagaa.Wameru lugha yao ina ukaribu zaidi na lugha ya kimachame.

Achana na mipaka.kuna mmasai meru.meru imekakana na (W) hai.sio longido.simanjiro wala terati labda kisongo.mnadani
 
Georgemwaipungu nimeishi kila mkoa nafaham makabila mengi pamoja na la kwako. KilA kabila lina udhaifu wake, kwangu mimi hakuna kabila linaweza kujisifu hata langu pia linaapungufu mengi tu.
Udhaifu mkubwa wa wameru ni hasira, kwani hawapendi kudharauliwa hata kidogo. Wakikasirika huungana na wanaweza kufanya lolote hata askari wanafaham hilo, huwa hawaingii kichwa kichwa.
 
Hahaha wew sio mtafiti...watani wa wameru ni wapare na warangi, ila wengi wao hawajui/ hawapendi utani kivile.
Ni kweli wameru wana udhaifu wao but endapo mtaheshimiana nao ni watu wa maana wanajua kushikamana, wanapenda maendeleo sana

wana roho mbaya sana kuliko.
 
Georgemwaipungu nimeishi kila mkoa nafaham makabila mengi pamoja na la kwako. KilA kabila lina udhaifu wake, kwangu mimi hakuna kabila linaweza kujisifu hata langu pia linaapungufu mengi tu.
Udhaifu mkubwa wa wameru ni hasira, kwani hawapendi kudharauliwa hata kidogo. Wakikasirika huungana na wanaweza kufanya lolote hata askari wanafaham hilo, huwa hawaingii kichwa kichwa.

Ila ni watu washamba sana tena wanadharau hata kama hawana kumi pia wanapenda kusengenya sana (umbeya) ukifanya naye kazi basi unashida sana.
 
Labda umekutana na wasing'isi. Hao ni balaa, ole wako upate ajali ya gari eneo la sing'is, watagawana spare ukiangalia nasaada hupati hata kama ni mchana. Hao ni wauaji kabisa
 
Wakiwa wengi ofis moja hapo kweli ni shida, kwani wao kwa asili hupenda kuongea kilugha pia wakiongea neno moja na kucheka sana bilashaka utahisi wanakuteta. Huu nao ni udhaifu wao but ukiwajua hutapata shida. Niliishi nao sana walinifanya nitamani kujifunza kwani ukiwa nao wanaongea na kufurahi mda wote.
 
Lowasa pia ni mmeru japo hawahi kuishi meru, yeye ni ukoo wa ndosi amabao unapatikana ambureni, shashoni na ngwambyaa, ushahidi ni kwamba anashiriki hata
 
Lowasa ni mmeru kwa asili ni ukoo wa ndosi, ushahidi ni huwa anashiriki misiba mingi ya ndg zake wa ambureni/shashoni/ngwambyaa hata alipokuwa waziri mkuu aliwahi kwenda na jk. Japo yeye amezaliwa monduli wakati babake alikuwa tarishi wa monduli dc, hivyo walipewa ukoo wa kimasai na babake kazikwa hukohuko. Niliwahi kufanya utafiti huo mdogo wakati akigombea uraisi kupitiawenyekiti wake wa kijiji paleonduli, wanakiri ni mmeru ila wao wamasai wanampenda sana kwani kwainua kimaisha na hawaoni shida kuwa yeye kuwa na asili ya meru.
 
Back
Top Bottom