Vifurushi vya Airtel OMG wamepunguza size za bundle

Vipi hawa smile??
6c8dbf87af52f43868c49d94db533c15.png


44a959be434c25e46e5e8077fd97bf89.png
 
Yep...
Ukijiunga na hilo Bando la tsh 2000 wanakupa 3Gb kutumia 24hr ila ikifika saa 5usiku inakuwa unlimited full speed wanzo mwisho na hawazigusi zile Mbs zako ilizobaki hadi saa 12 asubuhi.
So kama wewe ni mdau wa kupakua mizigo mizito unaweka mitego tu usiku then asubuhi umaokota madini yako

Asante kwa kunifungua macho nlkua cjui
 
jiunge na bundle ya zantel tsh 2000/siku wanakupa 3GB ya kutumia 24hr + unlimited saa 5usiku -12asubuhi.
Jana nimejaribu nimeweza kupakua Driver pack solution 9GB na windows10 preview(pro+Enterprise) zina 7GB jumla nimepakua 16Gb offer huku 3GB zangu mpaka sasa naitumia hapa yaani siaamini kabisa speed ni 1.3MB/sec hadi raha
Najiugaje?
 
Hivi nani anajua ktk mtandao ni wapi bei hizi huwekwa ili tulinganishe na kuamua ni mtandao gani wa kutumia. Nani mtaalam atusaidie hapa? Ninachojua mimi ni kuwa sipati mtandao kwa kiasi/bei ya awali.

Hivi nchi nyingine hali ikoje? Mbona mkonga wa Taifa umefika hapa kwa nini bei bado ni ya juu na kasi sio kama nchi nyingine? Hivi hata nchi jirani bei ni hizo hizo.

Tunahitaji elimu kwa jamii juu ya matumizi ya mtandao. Bila hivyo wengi tunapoteza fedha nyingiii. Nani anatoa elimu hiyo??

Nina maswali meeengiiii. Naona tunahitaji darasa. Au wanajamvi mnademaje kwa/ktk hili?
 
Back
Top Bottom