kwanza elewa baraza halitakuwa kubwa kiasi hiki! Pili, waziri atakuwa ni Executive tu bila kuingiliana na legislatures, nchi itakuwa ndani ya utawala wa majimbo, tukiwa na majimbo 8.mashariki (Dar, Moro, Pwani na Tanga), Kusini -Lindi Mtwara na Ruvuma, inyanda za juu kusini-Njombe, Iringa...