Safu ya uongozi CHADEMA haipangiki

Safu ya uongozi CHADEMA haipangiki

Kumbuka kuwa chama 'is a living organ', kinakua. wakati TANU inachukua nchi toka kwa wakoloni, walioonekana kumudu ongozi walikuwa wachahe sana.....baadae waliongezeka ikiwa ni pamoja na wasomi kujiunga nayo na wengine maarufu katika jamii na wenye uwezo. chadema kikiingia madarakani kitaunda timu ndogo imara ya kuliletea taifa hili ukombozi wa kweli (toka kwa magamba). chama kitazidi kukua na kufikia kilivyo cha chenu cha magamba...japokuwa cdm watakuwa na mpango madhubuti wa kukomesha maadui wa nchi hii - ujinga,umaskini, maradhi, na sasa ccm.
 
Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.
Uhuru wa maoni ni haki ya kila mtu lakini kwa mwingine unapoyachambua ndipo utagungundua zipi pumba na upi mchele/unga. Kwa hapa ndugu yetu kapotea lakini si vibaya tukamwelimisha. Hivi,bora viongozi(MAGAMBA) na viongozi bora(CHADEMA) ni wepi wanaohitajika na taifa letu? Chadema imekamilika na inazidi kukamilika, iko tayari na inaweza.
 
kwani ni lazima kila mmoja aanzishe thread!!!?


kwa hivyo unataka jamii forum ife? hujui kuwa uhai wa jamii forum ni hizo thread ambazo wewe hauzipendi? jiondoe na uwaachie wenye kujua umuhimu wa thread.
 
Unaweza kufikiri kwamba ccm wanayo safu ya kutosha kupanga mawaziri......unajidanganya! Hata rais wako anajua hilo, alipungukiwa ndo maana amelazimika kuwateua fasta akina Nahodha na Makame ili angalau ajazilizie atakapoteua mawaziri. Go for quality not quantity
 
hakuna hata mmoja mwenye sifa ya mkuu wa wilaya, halafu waende kupewa nchi. Hawa waachiwe ubunge tu ili Tanzania ionekane kuna demokrasia.

Na sugu aka mr2 aka 2 proud watampa wizara gani?
 
hakuna hata mmoja mwenye sifa ya mkuu wa wilaya, halafu waende kupewa nchi. Hawa waachiwe ubunge tu ili Tanzania ionekane kuna demokrasia. Na sugu aka mr2 aka 2 proud watampa wizara gani?
Mkuu, kwani yule dada Ex Girlfriend wa a loser Dr Slaa, Rose Kamili, ni mwanamke makini sana tumeona michango yake bungeni nadhani nafasi ya Waziri wa fedha ndio saizi yake!
 
  • Thanks
Reactions: Omr
Ila magamba ndio wana sifa ya kuongoza nchi!!!! Na maendeleo yepi tuliyoyapata baada ya magamba kuwa madarakani miaka 50!? zaidi ya ufisadi wa mabilioni kuanzia Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete
km hauoni maendeleo yaliyofanywa bas haitoshi we kuitwa kipofu ila utakuwa hauna akili timamu
 
kwanza elewa baraza halitakuwa kubwa kiasi hiki! Pili, waziri atakuwa ni Executive tu bila kuingiliana na legislatures, nchi itakuwa ndani ya utawala wa majimbo, tukiwa na majimbo 8.mashariki (Dar, Moro, Pwani na Tanga), Kusini -Lindi Mtwara na Ruvuma, inyanda za juu kusini-Njombe, Iringa, Mbeya, Rukwa; Kati- Dom, Tabora na Singida; Kasikazini- Knjaro, Arusha na Manyara; Ziwa- Mara, Mwz, Simiyu, Geita,shy na Magharibi- Kigoma, Katavi na kagera while Visiwan- Zanzibar yote!

Wakuu wa mikoa wata chaguliwa huku nafasi ya mkuu wa wilaya ikifutwa, mbunge na Mkurugenzi wanatosha ku-run dunia, i mean wilaya! wilaya moja mbunge mmoja!

tupo wote hadi hapo!

afu marando, atorney general


Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.
 
Usimasahau Mchumba wa Dk Slaa, atakuwa naile nafasi ya Sophia Simba

nyie watu nafikiri busara imekosekana hapa,nyie ndio binadam pekee duniani mnaopenda kuongozwa na sura zilezile miaka nenda rudi,mtaelimika lini,lazima tubadili viongozi
 
Basi panga wewe uone kama kuna mtu anaefaa kuwa kiongozi wa nchi hii toka chadema.
Mbona una akili finyu za kufikiria kichwani mwako??mtu mzima huwezi kuuliza maswali kama haya,Sio lazima serikali nzima iwe na viongozi wa CHADEMA tu kuna Viongozi wengine wa CCM wanafanya kazi vizuri sana na hawaipendi kabisa CCM hao hao watachukulia na kuweka kwenye vitengo mbali mbali.......na kama kubadilisha huyu aweke pale na pale awekwe huku......sehemu zote maalum wanawekwa viongozi wa maana.....
 
serikali yote itaongozwa na ukoo wa mtei,wajukuu,wakwe,watoto,huyo zito wakimuonea huruma ukuu wa wilaya
 
kuna magonjwa mengi ambayo hayana dawa - mengine ya mwili na mengine ya kimawazo. Ati majira haya yupo mtu anaamini kuwa eti CHADEMA hawawezi kuandaa na kupata viongozi wake. huyu ni mtu wa ajabu sana na hakuna dawa yake.
 
Si lazima kula iwapo huna njaa, ng'ombe afungwae kengele ndo kiongozi. Wacheni kupenda unafiki taifa laangamia kwa kukosa maadili.Leteni hoja zenye tija.
 
Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.
ama kwa hakika jf ni kama mafuriko ya elnino , yanasomba hata nepi za watoto !
 
You reflect the big fraction that reflects the problem with most people.Always going for the reigning thing.ahh...nimepita tu!

Ben sina hakika ulicho kiandika kakuelewa maana from his message he has proved to be very low .Hana ajualo ni mshabiki huyu .
 
Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.
hapo ndio akili zako fupi zilipoishia
 
Back
Top Bottom