Kenya budget larger than rest of EAC combined

Ungeeleweka kama ingekuwa Rwanda ina bajeti kubwa AM basi tungekaa kujadili kwa maana sio kawaida, vinginevyo nafikiri wewe na ninaamini ni mkenya uko kama wakenya wenzako ambao mnakwenda shule kujifunza kiingereza na sio vinginevyo![/QUOTE]

kama ukiangalia kwa ukubwa wa nchi, idadi ya watu nk, Rwanda inabajeti kubwa zaidi ya mara kumi ya Tz, na mlengo wake ukiwa katika elimu na ubora wa maisha ya mwananchi.

sisi ndio wa mwisho, vimeo!
 
kuna mmoja mstaarabu hapa...:dance::dance:

Thanks very much and more suggestions for your reading from another member of JF below

One: a deliberate ''face-Eastwards'' policy and combined with ''out-of-the-box'' imaginative GoK financing options beyond the age-old matrix of "Donor-support'' in public debt financing (domestic borrowing, sovereign bonds, etc), finally have broken Western stranglehold on GoK. Multiplier effect. Eventually even the funds- component from International Funding Agencies (World Bank, IMF) have become voluntary and not prescriptive, nor pegged to their usual economic programs which have had such negative effects on African Economies. Bi-lateral funding no longer attaches the usual big-brother arrogance since these funds are never factored in Kenya's Budgetary Statements. Numerous African Governments' economists and planners have studied and replicated to varying degrees this Kenyan Matrix, and so caused substantial worry to the usual hegemonistic West.

Two: Ethiopian outpaced Kenya in the growth-rate quantum (10% against 5.5% or thereabouts). But that must be seen against the other indicators, a simple one is the comparative chart above - the Economies and Populations for instances are as indicated.

And because the central cog in the Eastern African economic (and socio-politico) dynamics appears clearly to be Kenya, there are deliberate insidious efforts by certain of our Western ''Friends'' to slow down Kenya's movement and force /bargain their re-engagement in Kenya. Wtz will take their usual exceptions about this statement, no doubt!!
 
Hivi East Africa kuna economy au uchumi wowote? Labda tulazimishe tu lakini economy ni zero. Sifuri. kuna makampuni zaidi ya 20 duniani yana pata profit zaidi ya budget za nchi zote za E.A combined. Sasa usihesabu turnover. Makusanyo ya kodi nchi zote zetu combined yanatolewa na kampuni moja kwa wenzetu. Kwa hiyo kuna kampuni leo ikiamua kuhamia Tanzania au Kenya basi watu wengine wote hawahitaji kulipa kodi hata shilingi moja, na mapato ya kodi yatabaki pale pale.
 
Hivi East Africa kuna economy au uchumi wowote? Labda tulazimishe tu lakini economy ni zero. Sifuri. kuna makampuni zaidi ya 20 duniani yana pata profit zaidi ya budget za nchi zote za E.A combined. Sasa usihesabu turnover. Makusanyo ya kodi nchi zote zetu combined yanatolewa na kampuni moja kwa wenzetu. Kwa hiyo kuna kampuni leo ikiamua kuhamia Tanzania au Kenya basi watu wengine wote hawahitaji kulipa kodi hata shilingi moja, na mapato ya kodi yatabaki pale pale.

hii sasa ndo tunaita ungwana.asante
 
Back
Top Bottom