Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Maandamano ni HAKI msingi ya Ki-Katiba kwa kila raia bila kujali yuko wapi kwa wakati gani. Hivyo vitisho vya mtu yeyote kwa Waandamanaji wa huko Washington DC ni kujipotezea tu muda bureeeeeeeeeee!!

Cha msingi shughulikeni na yale yanayowafanya watu kukereka kiasi cha kufikiria kutumia hii silaha ya mwisho wa maandamano. Unafikiri mtu gani anapendezwa tu kuandamana kama chizi hivo bila sababu yoyote: Banae, wenzetu tunawaunga sana mkono katika azma yenu hiyo kumpokea rais wa Jaji Makame kwa mabango huko majuu.

Tuendelee kupeana taarifa juu ya hili. Msikubali kukamatishwa hizo rushwa za dollar milioni 3 ili muache kuandamana. Utu wa Mtanzania kwanza na vijisenti baadaye.

Wataharisha kwenye ndege. Ila sioni sababu ya JK kujipeleka kwenye hii DICOTA. Anajiaibisha bure kusema kweli. Aangalie mambo mengine. Ata akijitokeza mtu mmoja, Kikwete atajidhalilisha kweli
 
Asanteni sana na MUNGU awabariki na yeye alinde kazi zenu.

Kumbe kuna namna ya kumnyima VISA huyu wakala wa mafisadi na anayeturejesha utumwani kwenye nchi yetu wenyewe,
 
Vitisho ni dalili tosha ya uoga wa hawa mafisadi, walizoea rushwa kwa walala hoi sasa huku kwetu hatupokei rushwa zao.maandamano yako palepale na huyu Vasco aka C.columbus lazima aaibike kwa safari zake za kuizunguka dunia. Sitakosa hapo Washngton DC. alutaa continuaaaaaaaaaaa
 
komaeni wazee kitaeleweka! wanaweweseka by nw itafika mahali wataelewa hawataenjoy ufisadi wao! mungu yupo na anaona harakati zetu hatatuacha tuzame ktk lindi la tope au mkondo wa maji utugharikishe!
 
JK Ndio Rais wa Tanzania na anafanya kazi kwa bidii sana kuhakikisha wote tunaenda shule bila kubaguwana, anahakikisha barabara zote zinapitika bila kubaguwana, anahakikisha Mtwara, Tanga, Kigoma, Tabora, barabara zinafika na maisha yanaboreshwa. Anahakikisha kuwa sehemu zote zilizoachwa nyuma ki maendeleo kwa makusudi kabisa zinazifikia zile zilizo pendelewa kwa haraka sana.
Tumewasikia,mpo wachache sana mayeridhishwa naye. Sisi tunaoona kuwa kuna vitu vingi vinaenda mrama na hivyo tunaungana mkono mapinduzi haya tupo wengi na uwezo upo Well done awajibishwe huyo
 
This will be a historic moment kwa Tanzania..... Kama yatafanyika basi itakua ajabu sana.

Ni haki yao, na nijuavyo mimi kule jamaa hawafanyiwa waliyofanyiwa wenzetu wa Arusha

Yangu Macho!!!
 
Big Up Diasporas!!!! Nafikiri ni mwanzo mzuri. Kwa kuwa mwanasheria Mkuu anaandaa mswada wa kuzuia maandamano huku bongo, basi na rais wake popote atakaposafiri ni vizuri akutane na mabango.
 
JK kashindwa kuongoza! hilo halina ubishi na wala hastahili kusifiwa kwa lolote tena lakini hadi sasa hivi hajafanya jambo lolote BAYA ktk uongozi wake kufikia kutayarisha maandamano Washington DC,
Kama mabaya yote yanayotendeka katika serikali chini ya CCM na JK hayastahili maandamano DC, naomba mfano wa jambo baya ambalo linaweza kufikia kutayarisha maandamano DC. Kwa upande mwingine nafurahi kuona ya kuwa umeyapa uzito sana kuona kuwa maandamano ya DC ni ya muhimu mno na yanastahikli yafanyike tu kama JK atafanya mabaya makubwa mno. Ni kama Mahakama Kuu vile.

...hali ni sisi wenyewe ndio tulomchagua mwaka jana tu...

Kuchaguliwa mwaka jana si hoja.

Na kibaya zaidi labda niseme Marais karibu wote wa nchi za Afrika hawana tofauti na JK kwa sababu Ufisadi
Hatulinganishi uraisi wa JK na maraisi wengine wa Africa. Tunaangalia utendaji wa raisi wetu kulinganisha na matarajio yetu.

Kuandamana DC ni waste of time and energy!...
Ni maoni yako tu Mkuu. Tusubiri kama kweli ni waste of time and energy. So far, naona it is the opposite la sivyo vyombo vya uslama visingekuwa vinahaha vile kujaribu kuzuia na kuhujumu maandamano haya.

JK kashindwa kuongoza! hilo halina ubishi na wala hastahili kusifiwa kwa lolote tena

Now, this is the MAIN ISSUE. Hii ndio sababu ya maandamano at least from me.
 
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Nchi ipi inadidimia kiuchumi, Tanzania au USA? Kweli Mungu ana viumbe wengi!
 
Subject: Come meet the President of Tanzania

Invitation Top Banner <http://custom.cvent.com/FFFD4427058C4D01AF57EDACDD1AB05E/pix/f9213de12cf74535ad187a8079c594d8.jpg>



Learn directly from Tanzania 's President why his country is successful and what role Canadians can play in their economic development.
Madan M Chawla ,

This September , Tanzania's President , His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete will be coming to Toronto as the Canadian Council on Africa's guest of honour and I wish extend to you a personal invitation to meet him in person!

Starting in the morning with a number of presentations on the opportunities that exist in Tanzania and testimonials from Canadians who have been successful in this country , attending this one of a kind opportunity means you will:

* Learn directly from one of Africa's leaders in peace and prosperity on how Canadians can access unique opportunities
* Meet with the President of one of Africa 's most promising economies.

Madan M Chawla , I think you will agree that it is not every day which an African head of state comes specifically to meet with Canadian entrepreneurs such as yourself. I sincerely hope to see you in Toronto on September 16th. Limited spots are available and special rates have been reserved for CCAfrica members.

Sincerely ,

Lucien Bradet
CEO and President
Canadian Council on Africa


WHEN
Friday , September 16 , 201110:30 AM - 2:00 PMEastern Time
WHERE
Royal York Hotel100 Front Street West , Toronto , ON M5J 1E3
AGENDA
The Official Visit to Canada of Jakaya Mrisho Kikwete, President of Tanzania - Event Summary | Online Registration by Cvent?
RSVP

Thursday , September 15 , 2011

Please respond by clicking below
REGISTER ME TODAY! <REGISTER+ME+TODAY!<%2ffont>>



Invitation Bottom Banner <http://custom.cvent.com/Invitations/NameBadge/bottombanner.gif>

Having trouble with the link? Simply copy and paste the entire address listed below into your web browser:
The Official Visit to Canada of Jakaya Mrisho Kikwete, President of Tanzania - Invitation | Online Registration by Cvent?
If you no longer want to receive emails from Lucien Bradet please click the link below.
Opt-Out <Cvent - Error>

 
Subject: Come meet the President of Tanzania

Invitation Top Banner <http://custom.cvent.com/FFFD4427058C4D01AF57EDACDD1AB05E/pix/f9213de12cf74535ad187a8079c594d8.jpg>



Learn directly from Tanzania 's President why his country is successful and what role Canadians can play in their economic development.
Madan M Chawla ,

This September , Tanzania's President , His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete will be coming to Toronto as the Canadian Council on Africa's guest of honour and I wish extend to you a personal invitation to meet him in person!

Starting in the morning with a number of presentations on the opportunities that exist in Tanzania and testimonials from Canadians who have been successful in this country , attending this one of a kind opportunity means you will:

* Learn directly from one of Africa's leaders in peace and prosperity on how Canadians can access unique opportunities
* Meet with the President of one of Africa 's most promising economies.

Madan M Chawla , I think you will agree that it is not every day which an African head of state comes specifically to meet with Canadian entrepreneurs such as yourself. I sincerely hope to see you in Toronto on September 16th. Limited spots are available and special rates have been reserved for CCAfrica members.

Sincerely ,

Lucien Bradet
CEO and President
Canadian Council on Africa


WHEN
Friday , September 16 , 201110:30 AM - 2:00 PMEastern Time
WHERE
Royal York Hotel100 Front Street West , Toronto , ON M5J 1E3
AGENDA
The Official Visit to Canada of Jakaya Mrisho Kikwete, President of Tanzania - Event Summary | Online Registration by Cvent?
RSVP

Thursday , September 15 , 2011

Please respond by clicking below
REGISTER ME TODAY! <REGISTER+ME+TODAY!<%2ffont>>



Invitation Bottom Banner <http://custom.cvent.com/Invitations/NameBadge/bottombanner.gif>

Having trouble with the link? Simply copy and paste the entire address listed below into your web browser:
The Official Visit to Canada of Jakaya Mrisho Kikwete, President of Tanzania - Invitation | Online Registration by Cvent?
If you no longer want to receive emails from Lucien Bradet please click the link below.
Opt-Out <Cvent - Error>

Jasusi,
Kusema kweli nimesikitika sana kuisoma hii habari kwa sababu JK hajawahi kuja Canada na kwa mara ya kwanza anakuja ati kaalikwa na sijui watu gani ambao wanataka kutoza watu Usd 170 kwa kichwa. Yaani rais wetu anakuja huku kwa mara ya kwanza kwa mwaliko wa watu tusiowajua halafu wao ndio wanapanga sisi tulipe kiasi gani kumwona.. Hivyo hivyo ilikuwa mwaka 2006 Lowassa alipokuja hapa kwa mwaliko wa wahindi watu walilipa dollar 100 kuonana naye..

Labda kweli hata sisi wakazi wa Toronto na Canada tunahitaji maandamano kwenye huo mkutano maanake huu umekuwa ujinga mkubwa sana. Lakini narudi palepale tukiandamana itasaidia kitu gani sanasana tutakamatwa na kuswekwa ndani, huko Bongo wala wasiwe na habari tukaitwa wahuni tu...Mwaliko kama huu unakuonyesha jinsi watu hawa wasivyojua au wanavyojua kwamba JK ni fisadi na wanampongeza kwa kuwaachia njia nyeupee ya kupenyeza ukolonimamboleo.
 
Kikwete Baba,una kazi kwelikweli.Kama mambo ndo haya,kweli Tz imekushinda. Thanks for support from US,mko right kabisa kwani huku Tz,tunapelekwa pelekwa kama tuko Gwantanamo,kila siku ukiangalia massmedia news ni full stress and franstuation. Mtoto akinyanyaswa nyumbani,kama vikizidi majirani huingilia kati,nawaunga mkono asilimia 850,Rest in Peace JK Nyerere.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom