Mtu kamtumia wife sms akijiita mchumba wangu!

mende dume2

Member
Sep 28, 2010
37
2
Wadau jamvini, kuna mtu kampigia waifu simu na kumpiga bit at ni mchumba wangu. Alipomuignore, akamtumia message akidai nipo naye na akampa namba yangu anipigie au aniombe nimpeleka, uzuri waifu alijua nipowapi nanilikuwa na wanangu.

nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms, 0755 55 18 57, naomba msaada.

Nimeweka hapa kwani wiki iliyopita kunamtu aliweka namba 2 za matapeli, kunamdau alileta majina ya wanaotumia namba hizo. thread hiyo sijaweza kuipata nimeitafuta toka jana bila mafanikio

Nisaidieni, nimpate mtu huyu

wasalaam

Mende
 
Njia rahisi ni kutumia huduma ya mpesa. Kivipi? Kwanza. angalia salio lako la mpesa. Let say una tsh 2,500. pili: Fuata procedure za kutuma pesa ILA TUMA KIASI KIKUBWA KUZIDI amount uliyonayo kwenye simu yako kwenye hiyo mamba. Mfano TUMA LAKI 2, wakati kwenye simu una elfu mbili mia tano. Utapoke ujumbe toka Mpesa kwamba huwezi tuma hicho kiasi kwa (JINA LA HUYO MTU LITAKUWEPO KWENYE HIYO MSG NA NAMBA YAKE) .Hivyo utafanikiwa kujua jina la huyo mtu iwapo tu HIYO NAMBA IMESAJIRIWA.
 
na wewe mtumie kumwomba ukuta shida nini???mengine sio lazima yatatuliwe na mitandao mnamaliza wenyewe kwa akili ati loh
 
Wadau jamvini, kuna mtu kampigia waifu simu na kumpiga bit at ni mchumba wangu. Alipomuignore, akamtumia message akidai nipo naye na akampa namba yangu anipigie au aniombe nimpeleka, uzuri waifu alijua nipowapi nanilikuwa na wanangu.

nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms, 0755 55 18 57, naomba msaada.

Nimeweka hapa kwani wiki iliyopita kunamtu aliweka namba 2 za matapeli, kunamdau alileta majina ya wanaotumia namba hizo. thread hiyo sijaweza kuipata nimeitafuta toka jana bila mafanikio

Nisaidieni, nimpate mtu huyu

wasalaam

Mende

Si ajabu ulishammendea ila umemsahau tu bwana Mende!
 
Wadau jamvini, kuna mtu kampigia waifu simu na kumpiga bit at ni mchumba wangu. Alipomuignore, akamtumia message akidai nipo naye na akampa namba yangu anipigie au aniombe nimpeleka, uzuri waifu alijua nipowapi nanilikuwa na wanangu.

nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms, 0755 55 18 57, naomba msaada.

Nimeweka hapa kwani wiki iliyopita kunamtu aliweka namba 2 za matapeli, kunamdau alileta majina ya wanaotumia namba hizo. thread hiyo sijaweza kuipata nimeitafuta toka jana bila mafanikio

Nisaidieni, nimpate mtu huyu

wasalaam

Mende

Ngoja ni log in kwenye switch za vodacom niangalie yupo maeneo gani..

Ila kwa haraka haraka huyu jamaa ni muhaya ana ofisi posta jina lake linaanzia ni B....U,ni tapeli sana huyo mtu.
 
Njia rahisi ni kutumia huduma ya mpesa. Kivipi? Kwanza. angalia salio lako la mpesa. Let say una tsh 2,500. pili: Fuata procedure za kutuma pesa ILA TUMA KIASI KIKUBWA KUZIDI amount uliyonayo kwenye simu yako kwenye hiyo mamba. Mfano TUMA LAKI 2, wakati kwenye simu una elfu mbili mia tano. Utapoke ujumbe toka Mpesa kwamba huwezi tuma hicho kiasi kwa (JINA LA HUYO MTU LITAKUWEPO KWENYE HIYO MSG NA NAMBA YAKE) .Hivyo utafanikiwa kujua jina la huyo mtu iwapo tu HIYO NAMBA IMESAJIRIWA.

umeanzia mbalia kidogo kwa sabb no anayo amtumie tu 500,kisha ripoti ikirudi itakuja na jina la uliyemtumia,mpaka apo utakua ushamfaamu jina.
 
Ngoja ni log in kwenye switch za vodacom niangalie yupo maeneo gani..

Ila kwa haraka haraka huyu jamaa ni muhaya ana ofisi posta jina lake linaanzia ni B....U,ni tapeli sana huyo mtu.
mbona hansard yangu yaonyesha mchaga huyu@@@mmh wachaga wameanza kula wake za watu si shuguli kama kweli
 
tafuta software hii spybubble ya kwenye pc au phone itakusaudia jua kila uanachotaka kutoka kwenye namba unayoitaji
 
Njia rahisi ni kutumia huduma ya mpesa. Kivipi? Kwanza. angalia salio lako la mpesa. Let say una tsh 2,500. pili: Fuata procedure za kutuma pesa ILA TUMA KIASI KIKUBWA KUZIDI amount uliyonayo kwenye simu yako kwenye hiyo mamba. Mfano TUMA LAKI 2, wakati kwenye simu una elfu mbili mia tano. Utapoke ujumbe toka Mpesa kwamba huwezi tuma hicho kiasi kwa (JINA LA HUYO MTU LITAKUWEPO KWENYE HIYO MSG NA NAMBA YAKE) .Hivyo utafanikiwa kujua jina la huyo mtu iwapo tu HIYO NAMBA IMESAJIRIWA.

we mkali....sikuwahi kufikiri ni rahisi hivyo!!
 
Njia rahisi ni kutumia huduma ya mpesa. Kivipi? Kwanza. angalia salio lako la mpesa. Let say una tsh 2,500. pili: Fuata procedure za kutuma pesa ILA TUMA KIASI KIKUBWA KUZIDI amount uliyonayo kwenye simu yako kwenye hiyo mamba. Mfano TUMA LAKI 2, wakati kwenye simu una elfu mbili mia tano. Utapoke ujumbe toka Mpesa kwamba huwezi tuma hicho kiasi kwa (JINA LA HUYO MTU LITAKUWEPO KWENYE HIYO MSG NA NAMBA YAKE) .Hivyo utafanikiwa kujua jina la huyo mtu iwapo tu HIYO NAMBA IMESAJIRIWA.
Yes hii inafanya kazi aisee, lakini jamani sio vizuri kuweka majina ya watu hapa, labda ungem-pm aliyeomba hilo jina jamani, utakujashangaa jina la mkeo linawekwa hapa sijui utajitanguliza mbele za haki. Kazi kwenu.
 
Back
Top Bottom