mende dume2
Member
- Sep 28, 2010
- 37
- 2
Wadau jamvini, kuna mtu kampigia waifu simu na kumpiga bit at ni mchumba wangu. Alipomuignore, akamtumia message akidai nipo naye na akampa namba yangu anipigie au aniombe nimpeleka, uzuri waifu alijua nipowapi nanilikuwa na wanangu.
nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms, 0755 55 18 57, naomba msaada.
Nimeweka hapa kwani wiki iliyopita kunamtu aliweka namba 2 za matapeli, kunamdau alileta majina ya wanaotumia namba hizo. thread hiyo sijaweza kuipata nimeitafuta toka jana bila mafanikio
Nisaidieni, nimpate mtu huyu
wasalaam
Mende
nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms, 0755 55 18 57, naomba msaada.
Nimeweka hapa kwani wiki iliyopita kunamtu aliweka namba 2 za matapeli, kunamdau alileta majina ya wanaotumia namba hizo. thread hiyo sijaweza kuipata nimeitafuta toka jana bila mafanikio
Nisaidieni, nimpate mtu huyu
wasalaam
Mende