Ni vizuri watu wote duniani hasa Africa hasa africa mashariki tena tanzania hasa hasa chato na njombe na sehemu zote tujue na kuelewa neno hili
CHARITY BEGINS AT HOME
Trump atashinda tena tarehe 3 november na atarudi ofisini. Nashangaa watu mnaomuhukumu Trump kwa case za ubaguzi
Kaka yenu baraka amekaa miaka 8 amefanya nini.
Kwenye nyanja mbali mbali hapo US wapo watu weusi wamefanya nini. America for trump ni Rais wao mzuri uchumi wao upo mzuri unemployment...
Kwa kukatisha BBC sawa tu yani hata mtu uwe unapenda kukosolewa hawa BBC wamezi hawaoni lilijema hapa tanzania bora hata wale VOA swahili na DW kidogo BBC ni washenzi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.