miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,741
DuhhMkuu mbona umepanic. Au sababu tusheni zimefungwa umekosa zile Mia mbili Mia mbili![]()
DuhhMkuu mbona umepanic. Au sababu tusheni zimefungwa umekosa zile Mia mbili Mia mbili![]()
Yani mnabishana na USA?Delicious anaongoza wenye kariba yake, Na wewe kama unaongozwa na mwenye kariba ya ushamba ujue na wewe ni mshamba kama yeye!
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Walikatisha hata ule muhtasari Aljazeera walipoitaja Tanzania. Ila walisahau kule chini Aljazeera wanapitishaha yale maandishi ya habari zao, Tanzania iliandikwa piaMzee mi mwenyewe nilikuwa naangalia, Ila nikasema labda ni coincidence tu, Ila ilipofika Al Jazeera wanarudia habari kwa kifupi, walipofikia ya Tanzania walikatisha tena
🤣 🤣 🤣 🤣Walikatisha hata ule muhtasari Aljazeera walipoitaja Tanzania. Ila walisahau kule chini Aljazeera wanapitishaha yale maandishi ya habari zao, Tanzania iliandikwa pia
majuzi Kati nilikuwa nasikiliza radio free pale wanapojiunga na dw,mada ilikuwa corona hapa tz,ebwana mada ilipamba Moto wachangiaj nikama walikuwa wanainyoshea kidole tz,sio mda wakakata mawasiliano nakuweka ule wimbo wa "unakitambi nikikupa utawezana"Habari zenu wakuu,
Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.
Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.
Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?
Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
kajieleza na bado kafinywa mashavu ya usoni na mashavu ya chini.hatorudia tena upuuziSasa kama balozi wa marekani kaitwa kujieleza unategemea nini.
watawala ni kutoka pwani na kanda ya ziwa.Watu Wa kanda ya nyonyo hawatakiwi kupewa nchi, wana ushamba mwingi wizi ubabe, utendaji zero, exposures zero.
Mnatakiwa mjifunze.
KabisaWatu Wa kanda ya nyonyo hawatakiwi kupewa nchi, wana ushamba mwingi wizi ubabe, utendaji zero, exposures zero.
Mnatakiwa mjifunze.
Tushazoea manake tangu siku mingiii kituo cha radio "Radio One" huwa wanakatiza habari za BBC swahili asubuhi ama jioni endapo inajadiliwa mada ihusuyo Tanzania.
Acha porojo matagawatawala ni kutoka pwani na kanda ya ziwa.
pwani - mwinyi,kikwete na mkapa
kanda ya ziwa - nyerere,magufuli alafu kinakuja chumakingine cha kanda ya ziwa bashiru ally a.k.a mao setung.
bashiru ally prezidaa alafu mashinji pm.Acha porojo mataga
Ukweli ni kuwa hakuna tena vyombo vya habari kwa sasa Tanzania.Ninaongelea zaidi hizi traditional media kama radios na TVs.Kwa sasa kuna uharo tu.Full stop.Hio habari nimeiona Aljazera na pia Focus on Africa jana usiku wamerusha, Hio public gathering ya huko beach kwa kweli ni Aibu sikutegemea watu waende vile tena bila tahadhari kweli swala la elimu tz bado sana yani wanaambiwa korona tumeishinda na wao wanalibeba ivo ivo? By the way mimi sinaga muda na iyo station ikifika saa mbili asubuhi na tune direct aljazera au France24hours sina muda na local stations mana wameamua kunajisi taaluma zao , Nikitaka Habari za nchi najua JF ni kila kitu ntakuwa updated tu ila sio kutegemea media zenu izi mana wana filter sana habari
Mimi nimpenzi pia wa fox news, CNN, MSNBC and NBC na Bloomberg hizi station bana wakiwepo political analysts au economists haswa Bloomberg wanamchambua Potus utapenda wako very open and they dont scare mpaka trump anakujaga kulia lia Twitter
Kuna vitu vinapaswa kuwa ndio jicho la serikali yetu pia mfano media
Hizo local channels wengine tulishaacha kuziangalia maana hakuna habari zaidi ya ukasukuHabari zenu wakuu,
Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.
Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.
Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?
Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
Kabisa,hapa umenena.Joisi ana familia mkuu, ana watoto na anasomesha. Asipofanya hivyo anajua atapambana na ada za watoto bila mafanikio, kukaa bila kazi kunauma mkuu! Kuishi ni kuchanga karata tu, ukizubaa na kujifanya gangwe utavuna magalasa. Msamehe dada wa watu tu na muhurumie alee watoto wake.
Hapo ndio ujue hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini . Hapo anaogopa.kuambiwa amerusha matangazo yaliyo na mahudhui ya uchochezi.Mnamo saa 5 asubuhi ITV ilijiunga na Aljazeera English. Heading moja wapo ya news ilihusu hali ya Corona Tanzania.
Ilipofikia hiyo taarifa ITV WAKAWEKA MSULULU WA MATANGAZO na hivyo kuminya hiyo taarifa. Nilipokwenda jaazira moja kwa moja waliongelea tunavyoipuuza covid kwa kuonyesha yaliyotokea Dar es Salaam wakati wa Eid.
Zitto akazungumza yake. Wakazungumzia ya ubalozi wa Marekani. Wakaongelea pia ukosefu wa takwimu. Nikarudi ITV wakamaliza matangazo yao wakajiunga na Al Jazeera kwa topic iliyofuata.
HIVI NDIO VYOMBO VYETU VYA HABARI TUNAVYO VIAMINI. Au ndio uzalendo huo?