ndoto ni bayana,biblia imejaa ndoto kibao,farao aliota yusuph akatafsiri,mfalme wa babeli aliota juu ya sanamu yenye chuma,shaba,udongo etc,yusuph baba yake Yesu alioteshwa kuhusu Herode kumwangamiza mtoto hivyo akimbilie misri.Hivyo ndoto ni jambo halisi na la kweli,Babu Loliondo aliota na...