Sawa met, karibu jamvini. Hongera kwako uliyeipata mapema!Kufeli mtihani si kwamba wewe ni kilaza, isipokuwa ni kwamba wakati wa mtihani wewe hukufanhamu yale yaliyoulizwa kwa ufasaha! Waweza kujiandaa kwa mwaka mzima uka feli na aliyee jiandaa kwa wiki moja akafaulu!!
hawa jamaa wa NBAA tuliwaamini kumbe si lolote,nimesiti paper moja kwa zaidi ya mara tano sasa ila majibu ni yaleyale,usahihishaji wao na uandikaji wa waliohitimu ninautilia shaka sasa.Haiwezekani mtu apige mitihani sita wakati huohuo yupo serious na yuko fit hata ofisini anavyopiga mzigo utamkubali halafu NBAA wanakuja na mambo yao,hii sio sahihi.Jamaa anamalizia ACCA ila NBAA bado wanakataa kumpa CPA yake.Kulikoni????????????