FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Kusema ukweli ile habari ilinivunja moyo halafu binti mwenyewe alivyokuwa anafanana na mamake!! Mh hata sijui tufanyeje hapo usikute alionywa kidogo tu akaona anaonewa. Nadhani kwa staili hii itabidi tuwe tunawaonya watoto wetu kwa kuwalia timing kama tunavyofanyaga kwa spouses wetu!! unasubiria kwenye good mood ndo unaanza lakini mwanangu, siku ile kusema ukweli sikufurahia...........
Sure MJ haya mambo yanatisha
Hiyo signature yako nimeipenda .all the best
......Frankly Speaking If this is a dream, I just Wanna keep on dreaming...I Do Love You...S.M.L 2011