Huu ni usanii mtupu, kadi wanazinunua wenyewe harafu wanajifanya zimerudishwa na wana CCm, kama siyo msikhara watutajie majina na members waliorudisha kadi na tarehe zao za kujiunga. Hakuna impact hapa.
This is too high kwa sisi wapiga kura wake...Of all the people......Tundu Lissu!!!!!!...............................OMG...
This is too low for mheshimiwa Lissu.............
nape azifanyie nini? akafungie maandazi?Jamani wangemrudishia Nape kuliko kuzichoma.
Siasa za bongo bwana,,, haya yetu macho
This is too high kwa sisi wapiga kura wake...
We nani hadi umseme Lissu vibaya.....
Nyie Magamba mwaka huu tunawashambulia pande zote hadi mshindwe kupumua...
Tunajua kufa hamtakufa ila cha moto mnakiona
Of all the people......Tundu Lissu!!!!!!...............................OMG...
This is too low for mheshimiwa Lissu.............
Duh..........Hii kali.....Maendeleo ya nchi kwa kuchoma kadi za chama kingine!!!!!!!!!!!!!..............Only in Tanzania.............This is too high not only to Lissu and CDM but to all people of this nation especially for the development of our country.
Magamba bila kuyapelekesha mambo hayaendi!Duh..........Hii kali.....Maendeleo ya nchi kwa kuchoma kadi za chama kingine!!!!!!!!!!!!!..............Only in Tanzania.............