Recent content by ENGINE CONTROL

  1. E

    SIMBA FC kusherehekea ubingwa ndani ya ukumbi wa DAR LIVE.

    yakumfunga YANGA 5-0 bila??
  2. E

    Beware na huyu Jack Shoo wa Facebook na mitandao mingine

    Msimshitue jaman waungwana na mim nikamtengeneze huko huko kwenye facebook nataka nikajirengeshe anipe namba yake ya simu au namba ya akaunt yake akinipa tu ajue kaumie namkombea vijisent vyake vyoote. Mjini shule.
  3. E

    Kumbe siku hizi Mtu akikuita JEMBE maana yake wewe ni SHOGA.

    Hapo lazima mwanzisha thread lazima atakuma alikuwa kesha piga kijiti,banana au kiroba . Zilimchanganya zaidi alipokutana na mwanga wa simu alipofungua jf ndiyo mana kapost *****??
  4. E

    Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

    Tanzania ni nyepesi sana na wananchi wake tupo tupo tu ndiyo mana ccm inafanya lolote wawezalo wakijua na kuamin kuwa hatuna lolote la kuwafanya.
  5. E

    mashabiki wa liverpoolfc

    hakuna tatizo na nikweli kabisa na wewe si ndio MKUU WETU WA CHUO cha wajinga na wehu.
  6. E

    Serikali, wabunge na tanesco nani wakulaumiwa!

    Hapa wakumlaum ni baba mwana asha.
  7. E

    kwa hili hongera sana ccm,hadi hapo watakapojitambua!

    Ukipanda kinyesi lazima uvune kinyesi???
  8. E

    Tanesco wameanza!

    Aangrrrrrrr mkuu umenistua sana mi nirifikiri wameanza ukaguzi wa LUKU?? tuliochakachua matumbo yashakuwa juu kwa presha.
  9. E

    Nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu?

    Duu mkuu hapo kwenye karanga hunifikii mim huwa nakula daily kitambo nilikuwa asubuh nakunywa chai na karanga mbich robo na usiku nakula robo na juice sema nilikuwa nafanya sana zoezi.
  10. E

    Chips na nguvu za kiume

    Kuanzia viaz now ni sum vinaoteshwa na madawa chungu nzima. Ukija kwenye mapishi nako balaa mbali ya kupikia mafuta zaidi ya mara 3 wahun huchanganya na mafuta ya transformer. Ukija kwenye viungo huko ni balaa tupu chear source,tomato na mayornase ni sumu tupu imejaa. Kingine watu...
  11. E

    Msaada: Naombeni msaada wenu wataalamu wa simu za mikononi

    Kweli bongo elim haina nafasi sana ukienda mitaa ya k/koo mafundi sim weng wataalam ni wamitaan tu hawajapitia hata school zaid wamejifunzia vichochoron. Hakuna lisilowezekana chini ya jua mkuu.
  12. E

    kupotea kwa frequency za tv arusha

    mkuu kwan mfumo wakutumia satelite dish na receiver ni mfumo wa digital au analog?? Hebu soma thread mara ya 2 na uelewe mleta mada analalamikia kitu gan?? 
  13. E

    Vipindi Maalum vya JF kwenye TV: Naomba Maoni Yako!

    Si ungimkono hoja. Wewe unataka kuihalibu jf na kuhatarisha uhuru ,maisha na mwenendo wa maisha ya wana jf. Hivi ishu kama ile ya mwakyembe na polium iliyo andikwa na mkuu JB kama itatokea huyo JB akaja akafahamika au siku 1 akaonekana kwenye hicho kipind unategemea itakuwaje?? Au kwa...
  14. E

    Wataalam wa umeme hii haiwezekan

    ok kama inawezekana inaweza kupiga kazi fresh mpaka kiwango gan?? Mim niliwah jaribu hiyo kitu lkn ilikuwa inajizima kwenye circuit breaker. Je hapo tatizo ni nin?? Na unaweza ukawasha tv,fen,taa na redio kwa kutumia style hiyo ya earth wire?? Mkuu hiyo kitu sijui kama itakubali mim...
  15. E

    Car immobilizer help me plz??

    mkuu naomba ufunguke basi ilinikuelewe.??
Back
Top Bottom