Tanesco wameanza!

Codon

JF-Expert Member
Dec 16, 2011
628
93
Hali nimbaya,mgao usikokuwa nataarifa!Mara mtu unavaa t-shirt kazini bilakupenda.Nahii kimara upande wakushoto kama unatoka town ndio vibonde wao!Watoe ratiba au waseme tunakata for a month watz tumeshazoea ingawa inauma mno!
 
Aangrrrrrrr
mkuu umenistua sana mi nirifikiri wameanza ukaguzi wa LUKU?? tuliochakachua matumbo yashakuwa juu kwa presha.
 
Hiyo ndo TUMEDHUBUTU, TUMEWEZA NA SASA TUNASONGAMBELE MASAA 6 KILA SIKU NCHI HAINA UMEME!!!!

NI AIBU SANA!!!!
 
Poleni sana kwetu huwa haukatiki. Mpaka 2015 labda watu watakuwa na adabu kidogo wajaribu plan B
 
dar es salaam katika masaa 24, umeme unawaka masaa 5-8 tu.
 
AIBU imeanza tena kuidhalilisha serikali ya Kikwete!
Mipango yenye kila aina ya majina e.g Umeme wa dharula, Mipango endelevu, Megawati...yote ime'prove failure na kupelekea Aibu ya mwaka kwa watendaji!
 
Hili ni tatizo kubwa wandugu, wanakata umeme saa 11 asubuhi wakati watu wanaamka kujiandaa kwenda kazini. inaudhi sana jamani. Kinachotia hasira ni kuwa tayari nilishalipia umeme kwa mwezi mzima (LUKU ELFU 40,000), lakini hawana uwezo wa kutoa huduma husika! Sheria inasemaje? Hakuna fidia kwa huu usumbufu wa kishenzi namna hii! kwa nini hatuandamani kushinikiza serikali ijiuzulu? Hivi mimi nina akili kweli. Nafanyiwa ushenzi huu nakaa kimya tuuu? Watanzania tutabadilika lini. Lazima nibadilike, niongoze maandamano kupambana na huu uchafu wa Tanesco, Stupidi!!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Matak* yao, yaani kila siku mbagala umeme wanakata asubuhi kabla jua halijatoka, then wanarudisha saa 1 usiku. Wapuuzi kweli, bora watangaze tatizo ni nini, wanakaa kimya tu. Hii serikali ya kijing*@ tu.

@%* zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom