Cookie
JF Support
- Aug 6, 2009
- 2,157
- 961
Wakubwa!
Washabiki tuliochagua timu nzuri ktk hali ya ushabiki tukajikuta tukiwa ktk wakati mguu na hali si hali nikakumbuka hili neno kwenye chata ya Club:
"YOU'LL NEVER WALK ALONE"
Maneno haya yananifarijigi Mi binafsi sana na ndiyo ikanifanya nikabaki ktk hali ya kuipenda Club yetu na kudumu ndani yake mpk hivi sasa tulielekea ktk kunyakua bila shaka vikombe viwili na kusaka nafasi ya kukipiga UEFA next season!
NINA SWALI JAMANI!
Hv mechi ya kesho tukichukua hilo komba la Calling,na tukawa nafasi ya 4 ktk msimamo wa leage kuu. Je? Itakuwa tunacheza UEFA kubwa na ndogo?
Nauliza hivyo kwa sababu pale Uingereza sheria yao ya soccer inampa nafasi bingwa wa Calling kucheza Uefa ndogo. Na sasa nina IMANI tunaweza kukwea nafasi ya 4 bila shaka.
Kwa anayejua vema hili atunyambulie itakuwaje!
Pamoja Wadau!!
Mkuu liverpoolFC
Mfano liverpool wakimaliza kwenye top 4 kwenye league na wakashinda Carling Cup, watacheza Champions League na mshindi wa pili kwenye Carling Cup atacheza Europa League.
Ikiwa Liverpool atamaliza nafasi ya 5 au ya 6 kwenye league na akachukua kombe la Carling, atacheza Europa na mshindi wa pili kwenye Carling{ Cardiff} atacheza Europa League{ Kwasababu liverpool tayari watakuwa wame qualify moja kwa moja kupitia kwenye league}