snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
wiki chache zilizopita mkoa wa arusha umekua na matatizo katika tv chanels,hasa kwa wale wanaotumia satellite dish zinazochukua kutoka intelsat 64 e,chanel za itv,ch10,na tbc zinapatikana kimanati.decorder ni urembo tu,watu hawaangalii tv za hapa nchini kwa muda.kuna anayefahamu frequency mpya kwa kupitia intelsat 64 e,au arabsat?plz link it hapa ,maana hata website zao zina update za zamani mno