Recent content by DON SINYORI

  1. DON SINYORI

    Meli huwa inapelekwaje baharini?

    viwanda vya kutengeneza meli huwa vinajengwa fukweni au kwenye bandari maalumu(floating habour) au bandari inayoelea.hii hurahisisha movement ya meli kwenda kuanza kazi pale inapokamilika
  2. DON SINYORI

    Masikini Manji, kabanwa kila kona!

    mijinga mingine bana.mzazi anaefanya kazi huko watoto wake wataishi vipi? binadamu anaefurahia mwenzake anapopata tabu ni sawa na mchawi. we unadhani manji ni wa kulala njaa.mwenzio hata asipofanya kazi hadi anakufa anaweza kuishi maisha ya starehe mno.watakaopata tabu ni ndugu zetu wanaofanya...
  3. DON SINYORI

    Cosa nostra

    we jamaa nakukubali sana. uko vizuri asee.sema huwa hunitag kabisa.fanya uwe una nitag bana.
  4. DON SINYORI

    Supermarket mpya yafunguliwa Mjini Tanga

    hiyo ndo supermarket ya kwanza tanga. sijawahi kuona nyingine asee
  5. DON SINYORI

    Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

    yono ya dully ndo worse hadi worsest
  6. DON SINYORI

    Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

    mtoa mada uko sahihi sana. zooote ulizotaja hakuna nyimbo hapo. ukijumlisha na za dully sykes za hapa karibuni. jumlisha marry you ya dimondi. hovyo kabisaaaa
  7. DON SINYORI

    Askari JWTZ aliyedaiwa kumuua konda wa daladala, afikishwa kortini na mwanaye

    kwanini upande daladala kama huna nauli.basi at least angeomba. haya basi tuseme konda amekosea.ndo alistahili kipigo hicho?
  8. DON SINYORI

    Askari JWTZ aliyedaiwa kumuua konda wa daladala, afikishwa kortini na mwanaye

    daaaah asee. niliskia hii stori bana. eti mtoto wa mwanajeshi alipanda daladala bila ya kuwa na nauli. konda akashikilia begi lake la shule mpaka akalete nauli.mtoto kaenda kusemelea kwa baba. baba akatuma vijana wake wakamtafute huyo kondakta. konda akapatikana wakampeleka huko...
  9. DON SINYORI

    Gari zuri kusafiria kifamilia

    kweli kabisa mkuu hii mashine ni balaa. bei mil 19
  10. DON SINYORI

    Autoguru Workshop - Pata Double decker kwa 480000 tu design mpya

    mkuu unahitaji marketing lessons. unatoaje tangazo hakuna hata picha wala nn.?
  11. DON SINYORI

    Anataka kumuacha kisa ufupi

    hahahah i love this one mkuu
  12. DON SINYORI

    Anataka kumuacha kisa ufupi

    mwambie huyo kazini wako eti, hata Mengi ni mfupi ila Klyn ndo kafika. swali langu ni kwamba huyo kazin wako ni mzuri kuliko Klyn? kama sio basi she should consider her thinking kwenye swala la kutafuta mwenza wa maisha ufupi wala sio facta. it seems huyo kazin wako hajakua, ana akili za ki...
  13. DON SINYORI

    Kwa wale wapenzi wa Mafia movies God Father trilogy in best Movies of all time

    napenda pale din corleone alienda kumtetea senora colombo kuhusu swala la rent,i think iko kwenye godfather 2
Back
Top Bottom