Anataka kumuacha kisa ufupi

Nina huyu cuzo wangu ana bwana, the guy ana kazi nzuri tu, kapole, he is a gentleman, anampenda sana my cuzo like sana yani and all that (kwa mimi navyomuona).

The problem ni kwamba cuzo wangu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.

Back then walikua wanapenda sana tu, my cuzo alikuwa haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alikua mkoa mwingine kikazi.

I started noticing changes the guy alipokuja Dar es Salaam, first time cuzo akaomba twende wote, basi tukameet tuka have fun hivo.

Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa.

Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae kumuuliza why, anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.

Mimi nikamwambia kama you love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine, akasema hana kingine zaidi ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasababu hiyo.

I pity the guy coz yani ni kapole, kahandsome tu sema ndo hivyo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.

Basi the guy huwa ananiuliza kama my cuzo truly loves him, kama pia humuongelea nikiwa nae basi mmi naishia kumpa moyo tu.

Nauliza jamani is this right?

Wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?

Wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii?
We nawe sio ufupi wa mwili ni ufupi wa fimbo na kama ha enjoy ana haki ya kusema hvy.
 
mwambie huyo kazini wako eti, hata Mengi ni mfupi ila Klyn ndo kafika. swali langu ni kwamba huyo kazin wako ni mzuri kuliko Klyn? kama sio basi she should consider her thinking
kwenye swala la kutafuta mwenza wa maisha ufupi wala sio facta. it seems huyo kazin wako hajakua, ana akili za ki sista duu na show off ndomana
 
b329edfa837cffcbcaaa746a45f079ec.jpg
hahahah i love this one mkuu
 
mwambie huyo kazini wako eti, hata Mengi ni mfupi ila Klyn ndo kafika. swali langu ni kwamba huyo kazin wako ni mzuri kuliko Klyn? kama sio basi she should consider her thinking
kwenye swala la kutafuta mwenza wa maisha ufupi wala sio facta. it seems huyo kazin wako hajakua, ana akili za ki sista duu na show off ndomana
haha ngoja nikacheki picha ya klyn na mengi wakiwa ote...
 
mwache aendelee kuchagua, labda atapata mwanaume anayemtaka, ingekuwa binadamu wanatengenezwa kiwandani angetoa order with her specification. we are human, no one is perfect in under the sun.
Hizi comment zingekuwa zinatoka mkituanzishia na nyuzi za kufanana na wajomba zetu ingekuwa poa sana.

Heaven Sent pamoja na kujitahidi kooote ukaenda kufanana na baba yako mkubwa!!
 
Hizi comment zingekuwa zinatoka mkituanzishia na nyuzi za kufanana na wajomba zetu ingekuwa poa sana.

Heaven Sent pamoja na kujitahidi kooote ukaenda kufanana na baba yako mkubwa!!
Hahaha wao sasa hivi wanajifanya wanaangalia "character", na wakati utawakuta wamekomaza shingo "tabia tutarekebishana". Sitaki bonge, sitaki asiye na chura blah blah blah. Ila wao na ufupi oh unakufuru Mungu, mtu hajiumbi etc. Em niache na sura ya mjomba angu, japo na me sikuichagua, ukiona haikupendezi nipotezee tu. Kisa cha kukataa kuongozana na mimi pyeee
 
Mwache aendelee kupima urefu kajua ndio haka asipouanika atautwanga mbichi,itafika muda hata huyo andunje atakuja kuonekana ni mrefu,alafu mnajisifu mnavyomchuna nahuku hamumtaki short wa watu
 
ndo mana i heartly pity him...wanaume mnapitia mengi du
Wanaume hawapitii mengi ht usimuone huruma subiri cuzo wako apoteze uzuri wake wkt jamaa yupo kwenye form au aende kwa huyo mrefu hlf achezee dudu apande mimba hlf atemwe ndo atajua advantage ya kua mwanaume na mapenzi yana siri gan
 
Wanaume hawapitii mengi ht usimuone huruma subiri cuzo wako apoteze uzuri wake wkt jamaa yupo kwenye form au aende kwa huyo mrefu hlf achezee dudu apande mimba hlf atemwe ndo atajua advantage ya kua mwanaume na mapenzi yana siri gan
hivi warefu hawana mapenzi??
 
Back
Top Bottom