Wanasiasa waliowengi hufikiri wana akili
Sana kuliko watu wengine (wananchi). Kumbe ndio pekee wanaojua Kusoma na kuandika.
Na pia si wazalendo kabisa ni wa ajabu Sana.
Mwl Nyerere aliwahi kusema ktk vita
ya kiuchumi watatokea baadhhi ya watz
wenzetu watakao watetea mabepari
na hawa ni wasaliti wakubwa Sana.
Watz tunaoipenda nchi yetu tuna wajibu wa kuwapuuza hao mabepari.
Naomba kuuliza Tz ina shule za serikali zenye kidato cha tano na sita ngapi? Maana kwenye kumbukumbu zangu kwa waliochaguliwa
advance 2013 na 2014 walikuwa chini ya 53,000 na
55,000.Hapo wenzao wakabaki zaidi 21,000 kwa miaka hizo miwili.Naona mwaka huu 93,000 wamechaguliwa kidato cha tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.