Recent content by Debe Tupu

  1. D

    Yusuf Manji bila T. Lissu huchomoi

    Acha kuchonganisha watu. Usimba na uyanga umekujaje kwa kukutwa na vitambaa vya sare za jeshi. Acha Sheria ichukue mkondo wake.
  2. D

    Hivi CHADEMA ama hawaoni kuwa Mbowe ni Mfalme ndani ya chama chao?

    Mimi nasema ikiwezekana katiba tuibadili ili Ngosha aendelee.over
  3. D

    Naiona TAKUKURU yenye kasi na viwango!

    Hivi mahakama ya mafisadi Iko kisutu au maana hao nao nasikia wamepelekwa kisutu kabla ya kupelekwa kwenye mahakama ya mafisadi.
  4. D

    Nielewesheni wakuu!!

    yangu macho
  5. D

    Tucheke kidogo na madongo haya kutoka kwa wanasiasa wetu

    Nitasubiri Noah yangu mpaka dakika ya mwisho
  6. D

    Vitabu gani vizuri kwa PCM?

    weka na vya chemistry
  7. D

    Kwa kauli hizi naamini Zitto Kabwe ni raia wa Burundi

    Wanasiasa waliowengi hufikiri wana akili Sana kuliko watu wengine (wananchi). Kumbe ndio pekee wanaojua Kusoma na kuandika. Na pia si wazalendo kabisa ni wa ajabu Sana.
  8. D

    Swali kuhusu ko-post picha mitandaoni!

    Inategemea na picha yenyewe Kama maadili yana ruhusu Just do it lakini Kama ni ya ovyo kwanza utakuwa mtu wa ajabu ,limbukeni n.k
  9. D

    Msimamo was vyama pinzani ni sawa na kukuwadia ubepari uchwara!

    Mwl Nyerere aliwahi kusema ktk vita ya kiuchumi watatokea baadhhi ya watz wenzetu watakao watetea mabepari na hawa ni wasaliti wakubwa Sana. Watz tunaoipenda nchi yetu tuna wajibu wa kuwapuuza hao mabepari.
  10. D

    Taarifa sahihi za kilimo.

    Kilimo kwanza
  11. D

    Tanzania ina shule ngapi za kidato cha tano na sita?

    Naomba kuuliza Tz ina shule za serikali zenye kidato cha tano na sita ngapi? Maana kwenye kumbukumbu zangu kwa waliochaguliwa advance 2013 na 2014 walikuwa chini ya 53,000 na 55,000.Hapo wenzao wakabaki zaidi 21,000 kwa miaka hizo miwili.Naona mwaka huu 93,000 wamechaguliwa kidato cha tano...
Back
Top Bottom