NIKIMU Senior Member Jan 25, 2015 182 96 Jun 27, 2017 #1 Ni Muda sasa mtandao wa simu wa vodacom Tanzania hauko hewani kwa maeneo ya kisiwa cha ukerewe.
THEGENTLEMAN1996 JF-Expert Member May 13, 2017 518 590 Jun 27, 2017 #2 wameharibu mambo yangu.. nakuja na meli ya jion kwa mbwembwe then na_conekti internet hakuna, wala mawasiliano ya kawaida. kesho mbio wamenikosea
wameharibu mambo yangu.. nakuja na meli ya jion kwa mbwembwe then na_conekti internet hakuna, wala mawasiliano ya kawaida. kesho mbio wamenikosea
NIKIMU Senior Member Jan 25, 2015 182 96 Jun 27, 2017 Thread starter #4 THEGENTLEMAN1996 said: wameharibu mambo yangu.. nakuja na meli ya jion kwa mbwembwe then na_conekti internet hakuna, wala mawasiliano ya kawaida. kesho mbio wamenikosea Click to expand... Hamia jaza ujazwe mkuu
THEGENTLEMAN1996 said: wameharibu mambo yangu.. nakuja na meli ya jion kwa mbwembwe then na_conekti internet hakuna, wala mawasiliano ya kawaida. kesho mbio wamenikosea Click to expand... Hamia jaza ujazwe mkuu