Mbona kama heading haiendani na content....??? Manake tumeambiwa Airtel ndo anapunguza staff lakini ukisoma huo mkeka ni iSON BP ndo waliotoa hilo tangazo na wanawataja Airtel kama client wao muhimu ambae kaathirika na call volume shortage....... Jamani, tusipende kuhabarisha umma kishabiki...
Hili si jambo jipya, kwa wafuatiliaji wa US Politics baada ya kuchaguliwa tu WK iliyofuata aliwapa two weeks wajiandae as they will be fired. Nakumbuka wengi walilalamika sana hasa wale wenye familia walidai watoto wao walioko shule wangelisumbuka. All in all to them it is neither new news nor...
Mi nikajua n Mawingu Tv tu na Kafulila ndo wanaweza fanyiana hivyo kumbe hata baba wa demokrasia......???? No wonder watoto wa demokrasia wanarithi tabia ya baba yao taaratiibuuu.......
Wakati mwingine unaweza kwenda mbali na kupendekeza n bora hz ruzuku za vyama vya siasa zifutwe tu, kwangu mm pia zimechangia sana kuleta wanasiasa uchwara na utitiri wa vyama vya siasa visivyo na tija kabisa kwa maendeleo ya mtanzania.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.