Recent content by dareda

  1. dareda

    MWAFAAA: Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji chalia ukata, mshahara wa Januari wapigwa danadana

    Naona hz barua/memo zinashika kasi kweli, sasa kitu kimeandikwa Internal Memo sijui JF kinatafuta nn......
  2. dareda

    Waraka maalum wa kujivua Uanachama ndani ya CCM

    Kama na ww ulikua mwanachama wa CCM basi kweli kama alivyosemaga JK, CCM ni kokoro.......
  3. dareda

    Jinsi ya kutengeneza Tomato sauce

    Mtoa mada tafadhali malizia na chill sauce kabisa.......
  4. dareda

    Mad tune: Enjoy wimbo mpya wa Christian Bella

    Huyu jamaa melody zake akizeeka tutakua tunamsikiliza Papa Wemba in another era.......
  5. dareda

    Hali mbaya: Makampuni ya simu yaanza kupunguza wafanyakazi. ITV yasogeza mishahara mbele

    Mbona kama heading haiendani na content....??? Manake tumeambiwa Airtel ndo anapunguza staff lakini ukisoma huo mkeka ni iSON BP ndo waliotoa hilo tangazo na wanawataja Airtel kama client wao muhimu ambae kaathirika na call volume shortage....... Jamani, tusipende kuhabarisha umma kishabiki...
  6. dareda

    Trump atimua mabalozi wote walioteuliwa na Obama

    Hili si jambo jipya, kwa wafuatiliaji wa US Politics baada ya kuchaguliwa tu WK iliyofuata aliwapa two weeks wajiandae as they will be fired. Nakumbuka wengi walilalamika sana hasa wale wenye familia walidai watoto wao walioko shule wangelisumbuka. All in all to them it is neither new news nor...
  7. dareda

    CIA ya wamarekani yatoa takwimu ya wakristo/waislam TZ ktk website ya

    Folk religion na other religion maana yake nn.....???@mtoa mada
  8. dareda

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Ni maeneo gani kaka tusaidie kurelay info....??
  9. dareda

    Mzee Shakka leo katolewa fasta hewani

    Mi nikajua n Mawingu Tv tu na Kafulila ndo wanaweza fanyiana hivyo kumbe hata baba wa demokrasia......???? No wonder watoto wa demokrasia wanarithi tabia ya baba yao taaratiibuuu.......
  10. dareda

    Rais Jammeh wa Gambia awafuta kazi mabalozi wake 12

    Bro. Dont undermine the power of any sovereign state in this world.......
  11. dareda

    Huyu mzungu kanishangaza

    Manake kakuweka standby......
  12. dareda

    Leo hii na kesho angalieni uzalendo wa vyombo vya habari

    Wala uhuru wa mwenye habari.....
  13. dareda

    Lijimama la kinaijeria

    Itakua muvi ya kinaijeria......
  14. dareda

    Mtatiro: Umefanyika Wizi wa shilingi milioni 369, mali ya chama cha wananchi CUF

    Wakati mwingine unaweza kwenda mbali na kupendekeza n bora hz ruzuku za vyama vya siasa zifutwe tu, kwangu mm pia zimechangia sana kuleta wanasiasa uchwara na utitiri wa vyama vya siasa visivyo na tija kabisa kwa maendeleo ya mtanzania.....
Back
Top Bottom