Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,055
- 10,337
Dah... Hivi TimuKiba, au Yanga au Twanga pepeta ....wanapewa ruzuku kweli? Haya Hasa ndiyo tutahitajia Katiba mpyaIfike mahali tufute hizi ruzuku za vyama vya siasa. Ni upotevu wa pesa za umma kwa manufaa ya wachache.