Mm,mzee mwanakijiji,hata mimi nashangaa sana.Nimekuwa nikiwaangalia watanzania kwa mshangao sana.Kama kweli ni wema kiasi cha hata kunyang'anywa tonge mkononi na wao wakanyamaza kimya Mungu awasaidie sana.Mengi ya kushangaza, mabovu mno, yanaendelea machoni petu,wala sio ufisadi tu.Viongozi wa...