Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
maamuzi haya ni makengeza ya kufikiri. Yaani askari, watu wazima ambao wanalipwa mshahara wasilipe nauli, halafu walemavu wasiojiweza walipe, akili kweli?
mbona kama ugomvi au matatizo yametokea ndani ya gari na kuna askari mle ndani mimacho yenu yote mnamwangalia askari au mwanajeshi aliyepanda mle ndani? kama asingalipanda mngemwangalia nani? mimi naona wasilipe nauli na wazagae kwenye magari yote ya abiria ndo na usalama utazidi, vibaka na makonda hawataonea wananchi. ndo mawazo yangu, sipingwi na mtu ukweli ndo huo pamoja na kwamba mimi si mwanajeshi.
Nidhani umeweka hizo sababu.... Kumbe nawe unauliza....husika na kichwa hapo juu,nimekuwa nikijiuliza kwanini askari wetu hawatozwi gharama hii ya usafiri kwa upendeleo kiasi hiki,huku watumishi wengine wakigharamia huduma hii japo nao wanafanya kazi ktk mazingira magumu na mshahara japo ni mdogo.kama walimu, manesi nk
kama unazijua
TAFADHARI ORODHESHA
husika na kichwa hapo
juu,nimekuwa nikijiuliza kwanini askari wetu hawatozwi gharama hii ya
usafiri kwa upendeleo kiasi hiki,huku watumishi wengine wakigharamia
huduma hii japo nao wanafanya kazi ktk mazingira magumu na mshahara japo
ni mdogo.kama walimu, manesi nk
kama unazijua
TAFADHARI ORODHESHA
hivi jamaa hujui hawa police na wanausalama kwa ujumla wanalinda USALAMA wetu...? au unataka waseme tu?
hivi jamaa hujui hawa police na wanausalama kwa ujumla wanalinda USALAMA wetu...? au unataka waseme tu?
Ha ha ha ha hiv kuna mtu analinda usalama wangu kama mm mwenyewe?Nam silipi naul kama hivyo